Vijana wa Saku wamelalamikia serekali ya kaunti ya Marsabit kutoidhinisha maswala waliyoibua wakati wa vikao vya kushirikisha umaa kwenye marekebisho ya bajeti…
February 5, 2025
Drake teased to his fans a new album is set to premiere soon while on tour with 21 Savage. He told the crowd: “I have an album coming out soon for y’all.” Drake insists he’s not thinking about retirement anytime soon, but when the time comes to step back, he[Read More…]
Rihanna is the first female artiste to have ten songs hit one billion streams on Spotify. She took to her Instagram to celebrate the milestone saying, “Bad gal bili. With no new album…lemme talk”. The soon-to-be mother of two released her last album, Anti, in 2016. The monumental achievement follows[Read More…]
Na Isaac Waihenya Rais Wiliam Ruto ameelezea kujitolea kwa serekali ya Kenya Kwanza kuimarisha maisha ya mwananchi wa chini. Rais Ruto aliyasema hayo katika ukumbi wa KICC jijini Nairobi wakati wa uzinduzi wa mpango wa kuwapa uwezo wahudumu wa bodaboda kote nchini. Mpango huo pia unawapa wanabodaboda mbinu bora[Read More…]
Na Samuel Kosgei Naibu Spika wa Bunge la Kitaifa Gladys Shollei amemlaumu Katibu Mkuu wa UDA Cleophas Malala kuhusu ghasia za hivi karibuni zilizotokea wakati wa mkutano wa wajumbe wa UDA. Shollei alisema katika miaka iliyopita, hakukuwa na mkutano wowote wa UDA uliokuwa wa vurugu. Jumamosi, Malala alilazimika kumaliza mkutano[Read More…]
Na Adano Sharamo Serikali imetangaza Jumatano wiki hii kuwa sikukuu ya kuadhimisha Eid-ul adha. Waziri wa usalama wa ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki ametoa tangazo hilo kupitia notisi ya gazeti la serikali. Eid-Ul-Adha hutumika kuashiria kilele cha hijja ya kila mwaka kwa mahujaji wanaoenda Mecca, mji mtakatifu wa waislamu.
Chris Hemsworth has confirmed that indeed Extraction 3 is in the making. The 39-year-old actor who plays Tyler Rake in the Extraction franchise has now told fans that a potential third installment in the saga is currently being “talked about”. Chris and director Sam Hargrave attended the Netflix Tudum global[Read More…]
Burna Boy has once again won the Best International Act award at the BET Awards. The 2023 edition of the BET Awards took place Sunday (25th June 2023) at the Microsoft Theater in Los Angeles. Although the superstar was not present at the awards, his presence was felt when he[Read More…]
Na Adano Sharamo Vijana hapa Marsabit wametolewa wito kuwa mabalozi wa amani na kuhubiri amani baina ya jamii mbalimbali ili kufikisha kikomo mizozo ya kikabila ambayo hushuhudiwa mara kwa mara katika kaunti ya Marsabit. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa hazina ya maendeleo ya maeneo bunge CDF katika eneo bunge la[Read More…]
Na Isaac Waihenya Viongozi wa Bunge la Vijana katika eneo Bunge la Saku maarufu kama Saku Youth Assembly wamekula kiapo cha kuanza kazi rasmi , zoezi ambalo liliandaliwa katika mkahawa wa Jirime hapa mjini Marsabit. Akizungumza baada ya zoezi hilo mratibu wa mipango katika shirika la Mabadiliko endelevu (IFPC) Hassan[Read More…]
Na Samuel Kosgei Polisi walisema kuwa matatu hiyo iliyokuwa na abiria 14 ilikuwa ikielekea eneo la Takaba kutoka mji wa Mandera wakati ilipokanyanga bomu hilo kati ya Wargadud na Elele. Inatajwa kuwa magaidi walikuwa wakilenga abiria ambaye siye mzaliwa wa eneo hilo ambaye aliyekuwa ndani ya gari hilo lakini alinusurika[Read More…]