Vijana wa Saku wamelalamikia serekali ya kaunti ya Marsabit kutoidhinisha maswala waliyoibua wakati wa vikao vya kushirikisha umaa kwenye marekebisho ya bajeti…
February 5, 2025
Na Grace Gumato Wazazi na walezi kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwaongoza vyema watoto wao katika matumizi sahihi na salama ya mitandao kwani wengine wao hujifunza tabia za kuwapotosha kimaadili kupitia mitandao. Wito huu ulitolewa na Thomas Mugo ambaye ni Afisa wa Masuala ya Watoto kaunti ya Marsabit kwenye maadhimisho ya[Read More…]
Na Samuel Kosgei Seneta wa Nandi Samson Cherargei sasa anasema kwamba wabunge wa Kenya Kwanza ambao walipinga Mswada wa Fedha wa 2023 uliopendekezwa watakabiliwa na hatua za kinidhamu. Kauli ya Cherargei ilijiri baada ya wabunge 176 kupiga kura kwa niaba ya muswada huo uliogubikwa na utata huku 81 wakipinga ripoti[Read More…]
Na Adano Sharamo Waakilishi wadi na maspika wao wana kila sababu ya kutabasamu baada ya tume ya kuratibu mishahara ya wafanyikazi wa umma SRC kuidhinisha mapendekezo ya nyongeza ya mishahara. Katika taarifa mwenyekiti wa SRC Lyn Mengich amesema mapendekezo hayo yataanza kutekelezwa katika mwaka wa kifedha 2023/24. Katika mapendekezo hayo[Read More…]
Na Isaac Waihenya Waziri wa fedha Njuguna Ndung’u hii leo anatarajiwa kusoma Bajeti ya 2023/24. Hii ndiyo bajeti ya kwanza ya utawala wa Rais William Ruto na Waziri Ndung’u anatarajiwa kusoma makadirio ya Ksh.3.6 trilioni. Kamati ya Fedha ya Bunge la Kitaifa inapendekeza nyongeza ya Ksh.80.7 bilioni, huku jumla ya[Read More…]
Na Isaac Waihenya Huku ulimwengu ukiadhimidha siku ya kutoa damu duniani wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametakiwa kujitokeza kwa wingi ili kutoa damu. Kwa mujibu wa Afisa Mkuu Mtendaji katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Kussu Abduba ni kuwa kutoa damu kuna faida sio tu kwa wanaohitaji damu mbali pia[Read More…]
Na Samuel Kosgei Rais William Ruto amesema kuwa serikali itamzawidi mwanariadha Faith Kipyegon, ambaye ana rekodi ya mita 1500M na 5000M duniani, kitita cha Ksh. 5 milioni kwa rekodi moja na nyumba yenye thamani ya Ksh. 6 milioni kwa rekodi nyingine. Akizungumza katika Ikulu ambapo alimkaribisha bingwa huyo, Rais Ruto[Read More…]
Na Adano Sharamo Viongozi wa Azimio sasa wanamtaka jaji mkuu Martha Koome kuingilia kati na kutatua mzozo wa kumuondoa mbunge maalum Sabina Chege kwenye wadhifa wa naibu wa kiranja wa wachache katika bunge la kitaifa. Azimio iliafikia uamuzi huo baada ya mpango wa kumuondoa Chege kupingwa na spika wa bunge[Read More…]
By Machuki Dennson The National Land Commission has officially appointed Kabale Tache Arero as the new Chief Executive Officer following rigorous recruitment process that was concluded yesterday. Up to her confirmation Kabale was the acting Commission’s Secretary/CEO and substantively has been the Director of Human Resource Management & Administration. She[Read More…]
Na Samuel Kosgei Baraza Kuu la Waislamu Kenya SUPKEM limeendelea kusisitiza kwamba serikali isijihusishe na taasisi za kidini ikizingatia kuwa Kenya ni nchi ya kidemokrasia. Badala yake, SUPKEM imependekeza kuundwa kwa makosa ya kidini ambayo yatatumiwa kutambua watu wanaokwenda kinyume na mafundisho na ambao watakabiliwa na adhabu kulingana na[Read More…]
Na Isaac Waihenya Serekali ya kaunti ya Garissa imeanzisha mikakati ya kukamilisha miradi yote iliyokwama ya ujenzi wa masoko kwa malengo ya kuimarima zoezi la ukusanyaji ushuru. Akizungumza baada ya kuzuru masoko ya Mikono na Suuk Mac D, Gavana wa kaunti hiyo Nathif Jama alisema kando na mipango hiyo ya[Read More…]