Featured Stories / News

NCIC itaendelea kuwaweka wanasiasa wanaoeneza semi za chuki katika orodha ya Aibu marufu kama “List of Shame”.

Na Wahenya Isaac, Tume ya uiano na Utengamano nchini NCIC itaendelea kuwaweka wanasiasa wanaoeneza semi za chuki katika orodha ya Aibu marufu kama “List of Shame”. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa tume hiyo Samuel Kobia ni kuwa idadi kubwa ya wanasiasa hawapendi kuwekwa kwenye orodha hiyo kwani huenda ikatia doa[Read More…]

Ibrahim Rotich suspected to have murdered Two Time World Athletics champion Agnes Tirop, arrested in Coast while fleeing to Tanzania

  The prime suspect in the gruesome murder of 25-year-old world 5,000m record holder Agnes Tirop, has been arrested. Ibrahim Rotich, who was in a relationship with the athlete was arrested on Thursday night in Changamwe, Mombasa county, as he tried to flee to a neighboring country to evade justice.[Read More…]

Oparasheni ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliomaliza darasa la 8 wanajiunga na shule za upili imeingia siku yake ya tatu hii leo.

By Waihenya Isaac, Oparasheni ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliomaliza darasa la 8 wanajiunga na shule za upili imeingia siku yake ya tatu hii leo. Operesheni hiyo iliyoanzishwa siku ya jumatatu na waziri wa elimu Profesa George Magoha analenga kuhakikisha asilimia mia ya wanafunzi wanaojiunga na shule za sekondari. Hii[Read More…]

Serekali imeweka mikakati ya kuhakikisha usalama wakati wa uchaguzi mkuu ujao. – Waziri Matiangi.

By Waihenya Isaac, Waziri wa usalama Daktari fred Matiangi ameleza kuwa serekali imeweka mikakati ya kuhakikisha usalama wakati wa uchaguzi mkuu ujao na pia hali shwari ya kuipokeza mammlaka serekali mpya. Akizungumza na waandishi wa habari, waziri Matiangi ameleza kuwa asasi za usalamua ziki imara kuhakikisha ya kwamba uslama umeimarishw[Read More…]

Subscribe to eNewsletter