Mwanaume moja wa miaka 38 ameponea kifo baada ya jaribio la kujitoa uhai kwa kujinyonga kutibuka usiku wa kuamkia leo katika kijiji cha Soweto mjini Laisamis kaunti ya Marsabit.
February 7, 2025
NA CAROLINE WAFORO Mwanaume moja wa umri wa miaka 27 ameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kosa la kumnajisi mtoto wa miaka miwili na miezi 9. Inaripotiwa kuwa mnamo tarehe 21 mwezi juni mwaka 2024 mtuhumiwa Umuro Roba Dalana alimnajisi mtoto huyo mdogo katika eneo la Manyatta Bubisa kaunti hii[Read More…]
NA SAMUEL KOSGEI Waandamanaji wanaoipinga serikali jijini Mombasa walichoma magari na kuharibu hoteli baada ya mtu mmoja mwenye bunduki kufyatulia risasi ovyo umati wa watu na kuwajeruhi takriban watu watatu. Kulingana na walioshuhudia, mtu huyo anasemekana kukasirishwa na waandamanaji hao ambao walitatiza biashara katika Barabara ya Nyerere. Kufuatia hali hiyo,[Read More…]
NA SAMUEL KOSGEI Chama cha ODM kinachoongozwa na Raila Odinga kinaitaka serikali ya Kenya Kwanza kuwajibikia mauaji, majeruhi na utekaji nyara ulioshuhudiwa nchini kufuatia maandamano ya Gen Z kupinga mswada tata wa fedha. Katika taarifa iliyosomwa na katibu mkuu wake Edwin Sifuna jijini Nairobi chama hicho kimeendelea kukashifu maafisa wa[Read More…]
NA SAMUEL KOSGEI Walimu wa shule za chekechea katika kaunti ya Marsabit wamepokezwa mafunzo ya kidijitali hatua ambayo inalenga kuwafaa wanafunzi 11 katika kaunti ndogo zote za Marsabit. Afisa mkuu katika idara ya elimu kaunti ya Marsabit Qabale Adhi alisema kuwa walimu wote wa ECDE watapokea mafunzo hayo ya kusomesha[Read More…]
Na Samuel Kosgei KAMPUNI ya kushughulikia masuala ya maji na majitaka kaunti ya Marsabit MARWASCO imeomba wakaazi wa mji wa Marsabit kuvumilia hatua ya maji kukatwa na kampuni hiyo siku nne zilizopita. Meneja mkurugenzi wa kampuni hiyo Sora Katelo akizungumza na wanahabari katika bwawa la Bakuli ulio mlima Marsabit Jumatatu[Read More…]
NA JOHN BOSCO NATELENG Kundi la Vijana kutoka eneo la Manyatta Ilman Chito wadi ya Sagant Jaldesa wametoa rai kwa serekali ya Kaunti kuwakarabatia barabara ambayo imetatiza uchukuzi katika eneo hilo. Galma Iya ambaye ni mmoja wa Vijana hao amesema kuwa watu wa eneo hilo wamekuwa wakitatizika na ubovu wa[Read More…]
Na Caroline Waforo Idara ya kilimo jimboni Marsabit imethibitisha kuwepo kwa nzige humu jimboni. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani naibu mkurugenzi wa kilimo jimboni Hassan Charfi amethibitisha hilo japo anaeleza kuwa nzige hao ambao wameripotiwa katika maeneo mengi jimboni Marsabit ni ‘nzige-miti’ yaani tree locust na wala sio nzige[Read More…]
NA CAROLINE WAFORO Kulingana na afisa wa kufuatilia magonjwa ya mifugo jimboni Marsabit Dkt Bernard Chege ambaye amezungumza na shajara ni kuwa PPR ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoathiri haswa mbuzi na kondoo na umethibitishwa katika eneo pana la Chalbi ikiwemo Elbeso, Kalacha, Maikona, kati ya mengine. Dr Chege anasema[Read More…]
NA GRACE GUMATO Huduma za hospitali ya rufaa ya Marsabit zimelemezwa hii leo kutokana na kuandamana kwa wafanyikazi wa hospitali hiyo baaada ya kulalamika kuwa hawajalipwa mishahara ya mwezi mitatu. Aidha wanafanyikazi hao ikiwemo madaktari na wauguzi wa hospitali hawajalipwa kwa miezi mitatu huku wafanyikazi wasio wa kudumu wakidai hawajalipwa kwa[Read More…]
Na Samuel Kosgei Kuna haja ya kuendeleza hamasisho dhidi ya tabia ya kukeketea wasichana jimboni Marsabit na sehemu zote zinazofanya zoezi hilo dhalimu. Hayo ni kulingana na bodi ya kitaifa ya kupinga zoezi la ukeketaji nchini Anti FGM board. Mkurugenzi mkuu wa bodi hiyo kukabiliana na FGM nchini Bernadette Loloju amesema[Read More…]