Featured Stories / News

WAANDAMANAJI MOMBASA WACHOMA MAGARI KADHAA BAADA YA WATATU KUPIGWA RISASI NA RAIA ALIYEKUWA NA BUNDUKI.

NA SAMUEL KOSGEI Waandamanaji wanaoipinga serikali jijini Mombasa walichoma magari na kuharibu hoteli baada ya mtu mmoja mwenye bunduki kufyatulia risasi ovyo umati wa watu na kuwajeruhi takriban watu watatu. Kulingana na walioshuhudia, mtu huyo anasemekana kukasirishwa na waandamanaji hao ambao walitatiza biashara katika Barabara ya Nyerere. Kufuatia hali hiyo,[Read More…]

ODM YATAKA SERIKALI IWAJIBIKIE MAUAJI, MAJERUHI NA UTEKAJI NYARA ULIOSHUHUDIWA NCHINI.

NA SAMUEL KOSGEI Chama cha ODM kinachoongozwa na Raila Odinga kinaitaka serikali ya Kenya Kwanza kuwajibikia mauaji, majeruhi na utekaji nyara ulioshuhudiwa nchini kufuatia maandamano ya Gen Z kupinga mswada tata wa fedha. Katika taarifa iliyosomwa na katibu mkuu wake Edwin Sifuna jijini Nairobi chama hicho kimeendelea kukashifu maafisa wa[Read More…]

WALIMU WA ECDE MARSABIT WAPOKEA MAFUNZO YA DIJITALI

NA SAMUEL KOSGEI Walimu wa shule za chekechea katika kaunti ya Marsabit wamepokezwa mafunzo ya kidijitali hatua ambayo inalenga kuwafaa wanafunzi 11 katika kaunti ndogo zote za Marsabit. Afisa mkuu katika idara ya elimu kaunti ya Marsabit Qabale Adhi alisema kuwa walimu wote wa ECDE watapokea mafunzo hayo ya kusomesha[Read More…]

HUDUMA ZA MAJI MJINI MARSABIT YAKATISHWA ILI KURUHUSU KUSAFISHWA KWA BWALA LA BAKULI 2 ULIOSAFISHWA MWISHO 1997

Na Samuel Kosgei KAMPUNI ya kushughulikia masuala ya maji na majitaka kaunti ya Marsabit MARWASCO imeomba wakaazi wa mji wa Marsabit kuvumilia hatua ya maji kukatwa na kampuni hiyo siku nne zilizopita. Meneja mkurugenzi wa kampuni hiyo Sora Katelo akizungumza na wanahabari katika bwawa la Bakuli ulio mlima Marsabit Jumatatu[Read More…]

Vijana wa Manyatta Ilman Chito wameamua kuchukua hatua na kuitaka Serikali ya Kaunti kushughulikia suala hili kwa haraka ili kuboresha maisha ya wakaazi wa eneo hilo .

NA JOHN BOSCO NATELENG Kundi la Vijana kutoka eneo la Manyatta Ilman Chito wadi ya Sagant Jaldesa wametoa rai kwa serekali ya Kaunti kuwakarabatia barabara ambayo imetatiza uchukuzi katika eneo hilo. Galma Iya ambaye ni mmoja wa Vijana hao amesema kuwa watu wa eneo hilo wamekuwa wakitatizika na ubovu wa[Read More…]

IDARA YA MIFUGO JIMBONI MARSABIT IMETHIBITISHA KUZUKA KWA UGONJWA WA MIFUGO WA PESTE DES PETITS RUMINANTS PPR KATIKA ENEO BUNGE LA NORTH HORR, MARSABIT.

NA CAROLINE WAFORO Kulingana na afisa wa kufuatilia magonjwa ya mifugo jimboni Marsabit Dkt Bernard Chege ambaye amezungumza na shajara ni kuwa PPR ni ugonjwa unaosababishwa na virusi vinavyoathiri haswa mbuzi na kondoo na umethibitishwa katika eneo pana la Chalbi ikiwemo Elbeso, Kalacha, Maikona, kati ya mengine. Dr Chege anasema[Read More…]

Huduma za matibabu hospitali kuu ya Marsabit zalemazwa kufutia mgomo wa wahudumu wa afya.

NA GRACE GUMATO Huduma za hospitali ya rufaa ya Marsabit zimelemezwa  hii leo kutokana na kuandamana kwa wafanyikazi wa hospitali hiyo baaada ya kulalamika kuwa hawajalipwa mishahara ya mwezi mitatu. Aidha wanafanyikazi hao ikiwemo madaktari na wauguzi wa hospitali hawajalipwa kwa miezi mitatu huku wafanyikazi wasio wa kudumu wakidai hawajalipwa kwa[Read More…]

TOHARA YA WASICHANA INGALI JUU MARSABIT KWA ASILIMIA 83 – BODI YA KITAIFA YA KUDHIBITI UKEKETAJI.

 Na Samuel Kosgei Kuna haja ya kuendeleza hamasisho dhidi ya tabia ya kukeketea wasichana jimboni Marsabit na sehemu zote zinazofanya zoezi hilo dhalimu. Hayo ni kulingana na bodi ya kitaifa ya kupinga zoezi la ukeketaji nchini Anti FGM board. Mkurugenzi mkuu wa bodi hiyo kukabiliana na FGM nchini Bernadette Loloju amesema[Read More…]

Subscribe to eNewsletter