SEREKALI YA KAUNTI YA MARSABIT YATAKIWA KUWAPIGA JEKI VIJANA NA WANAWAKE ILI KUPUNGUZA KIWANGO CHA UMASKINI.
October 17, 2024
NA CAROLINE WAFORO Serikali itaanza kufanya vikao vya ushirikishwaji wa umma kuhusu umuhimu wa vitambulisho vya kidijtali, maisha card. Vikao hivyo vitakavyoanza mwezi huu wa Septemba vitaongozwa na machifu huku wakaazi jimboni Marsabit wakitakiwa kuhudhuria. Haya yamewekwa wazi na naibu kamishna wa Marsabit ya kati Kefa Marube wakati wa kikao[Read More…]
Na Caroline Waforo, Idara ya elimu katika kaunti ya Marsabit imependekeza kwa wizara ya elimu kuhamishwa kwa shule ya msingi ya El Molo bay iliyoko wadi ya Loiyangakani kaunti ya Marsabit kutokana na kufura kwa ziwa Turkana. Haya ni kulingana na mkrugenzi wa elimu jimboni Marsabit Peter Magiri. Magiri aliyezungumza[Read More…]
Na Talaso Huka, Mafunzo kuhusiana na ngono za mapema kwa wanafunzi wa shule ya msingi na ya upili ni jambo ambalo serikali ingefaa kuliangazia katika mfumo upya ya elimu. Haya ni kwa mujibu wa mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya SKM Kame Koto. Akizungumza na Radio Jangwani afisi mwake[Read More…]
Na JB Nateleng, Utepetevu wa wazazi katika kuwalea wanao umetajwa kama sababu inayochangia katika kuongezeka kwa maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee Imam wa miskiti ya Jamia jimboni Marsabit Sheikh Mohamed Noor amesema kuwa, wazazi wengi wamelegeza majukumu yao ya kuwalea wanawao[Read More…]
Na JB Nateleng, Washikadau wa elimu wanafaa kuketi chini na wazazi pamoja na wakuu wa shule zote ili kuhakikisha kuwa wametoa suluhu la kudumu kuhusiana na kero la shule kuchomwa. Akizungumza na Shajara Ya Radio Jangwani ofisini mwake, mkurugenzi wa shirika la MWADO,Nuria Gollo ni kuwa wanafunzi wanachoma shule kusubuka[Read More…]
Na Caroline Waforo, Maafisa wa polisi pamoja kwa ushirikiano na machifu wanaendeleza msako wa pombe haramu pamoja na mihadarati mjini Marsabit. Operesheni hiyo iliyongo’a nanga alhamisi wiki jana inapania kuhakikisha kuwa utumizi wa pombe haramu pamoja na mihadarati unakomeshwa kikamilifu kulingana na kamanda wa polisi Leonard Kimaiyo. Aidha wamiliki wa vilabu[Read More…]
Na Caroline Waforo, Walimu wakuu humu jimboni Marsabit wametakiwa kuwa makini ili kuzia visa vya mikasa ya moto. Ni tahadhari ambayo imetolewa na kamishna wa kaunti ya Marsabit James Kamau ambaye amezungumza na meza ya Radio Jangwani afisini mwake. Kamishna Kamau anasema kuwa iwapo walimu wakuu watahakikisha kuwa wanakabiliana na[Read More…]
Na Caroline Waforo, Afisa moja wa akiba NPR katika wadi ya Loiyangalani eneo bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit amekamatwa kwa kumiliki bunduki tatu kinyume cha sheria. Akithibitisha kisa hicho kamanda wa polisi kaunti ya Marsabit Leonard Kimaiyo amesema kuwa afisa huyo wa akiba kutoka kaunti ya Samburu alikamatwa katika[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wanafunzi wa nyajani maarufu Interns wanaliofanya kazi katika idara mbalimbali za serikali ya kaunti ya Marsabit kati ya mwezi Septemba mwaka jana 2023 hadi Agosti mwaka huu wamelalamikia kutolipwa mishahara yao. Wakiongozwa na Ismail Hirsi wafanyikazi hao wametaja kwamba walilipwa mishahara ya miezi minee pekee licha kufanya[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Serekali ya kaunti ya Marsabit kupitia idara ya huduma za jamii inapania kuandaa mashindano ya riadha ya watu wanaoishi na ulemavu haswa wanaotumia magari ya magurudumu maarufu Wheel Chairs. Kwa mujibu wa mkurugenzi katika idara ya huduma za jamii kaunti ya Marsbit Galgallo Okotu ni kuwa zoezi[Read More…]