Featured Stories / News

Tamaduni na mila za jamii za Marsabit sasa kuhifadhiwa kidijitali kwa ajili ya kizazi kijacho.

. Na Samuel Kosgei   Serikali ya kaunti ya Marsabit ikishirikiana na Taasisi ya makavazi za kitaifa National Museum Of Kenya (NMK) imeweka makubaliano ya kushirikiana kuweka utamaduni na mila za jamii 10 asilia za Marsabit katika hifadhi ya kidigitali kinyume ilivyo Kwa Sasa ambapo tamaduni hizo hazijahifadhiwa kidigitali. Waziri wa Utalii[Read More…]

WAHUDUMU WA AFYA KAUNTI YA MARSABIT WALIOHUDUMU BILA MALIPO ENZI YA CORONA WALALAMA KUTOAJIRIWA NA SERIKALI YA KAUNTI.

  Na Lelo Wako Vijana waliojitolea kutoa huduma hospitalini katika kaunti ya Marsabit miaka sita iliyopita wameonesha masikitiko yao ya kutoajiriwa na serikali ya kaunti hata licha ya wao kutoa huduma za afya bila mshahara kutoka mwaka wa 2018. Vijana hao wakizungumza mjini Marsabit wameonesha masikitiko yao huku wakieleza kuwa[Read More…]

Wakaazi kaunti ya Isiolo wafanya maandamano ya Amani kupinga mswada wa kifedha wa mwaka wa 2024.

NA CAROLINE WAFORO Wakaazi kaunti ya Isiolo wamefanya maandamano ya Amani kupinga mswada wa kifedha wa mwaka wa 2024. Wakaazi hao an ambao idadi kubwa ni vijana wamesema mswada huu unalenga kuwakadamiza wakenya ambayo tayari wanakabiliwa na mzigo mzito wa kiuchumi. Waandamanaji hao wamesema kuwa hawajaona manufaa ya ushuru ambao[Read More…]

Wakaazi wa Marsabit watakiwa kuwasilisha malalamishi yoyote kuhusu vitambulisho kwa ofisi ya usajili wa vitambulisho Jimboni, chifu au DCC.

Na caroline Waforo Wakaazi wa Kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwasilisha malalamishi yoyote ya vitambulisho kwa ofisi ya usajili wa vitambulisho Jimboni, ofisi ya chifu au hata afisi ya mkuu wa wilaya yaani DCC. Ni wito ambao umetolewa na Michael Rapolo ambaye ni mkuu wa usajili wa watu jimboni Marsabit na[Read More…]

MASHINDANO YA MICHEZO YA MUHULA WA PILI YA SHULE ZA UPILI KITENGO CHA KAUNTI NDOGO YAMEANZA NA YANAENDELEA KATIKA ENEO BUNGE LA SAKU.

NA JOHN BOSCO NATELENG Mashindano ya michezo ya Muhula wa pili ya shule za upili kitengo cha kaunti ndogo yameanza na yanaendelea katika eneo bunge la Saku. Akizungumza katika uzinduzi wa mashindano hayo katika shule ya upili ya Moi Girls, Mkurugenzi wa elimu wa kaunti ndogo ya Saku Hussein Harubu amesema kuwa[Read More…]

VIJANA KATIKA KAUNTI YA MARSABIT WAMEHIMIZWA KUWAHESHIMU WAZAZI WAO ILI KUPUNGUZA VISA VYA MIZOZO YA FAMILIA.

NA JB NATELENG Vijana katika kaunti ya Marsabit wamehimizwa kuwaheshimu wazazi wao ili kupunguza visa vya mizozo ya familia. Akizungumza na idhaa hii afisini mwake Padre Titus Makhoha ambaye ni Baba Paroko katika kanisa la cathedral hapa Marsabit amesikitishwa na ongezeko la visa vya vijana haswa wavulana kutoheshimu na kukosa[Read More…]

Subscribe to eNewsletter