Usajili wa watahiniwa wa kibinafsi wa mtihani wa KCSE wa mwezi julai waahirishwa…
February 5, 2025
By Waihenya Isaac Wakenya wametakiwa kutoingiza siasa swala la kukabiliana na ufisadi nchini na badala yake kupiga jeki zoezi hilo kwa kupiga ripoti wanaposhuhudia visa vyovyote vya ufisadi. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC Eliud Wabukala ni kuwa vita dhidi ya ufisadi[Read More…]
By Adano Sharawe, Wizara ya Afya imeomba Shilingi bilioni 1.4 kutoka Wizara ya Fedha kupanua vituo vya kuhifadhi chanjo kote nchini na kununua vifurushi ambavyo vinaweza kuhifadhi chanjo hizo katika kiwango cha nyuzi kinachokubalika. Mkuu wa jopo la kusambaza chanjo za kukabiliana na maradhi ya Corona Willis Akhwale, amesema vituo[Read More…]
By Waihenya Isaac Kiongozi wa wengi katika bunge la kitaifa Amos Kimunya amesema kuwa Bunge liko tayari kuandaa mswaada wa kura ya maamuzi na marekebisho ya katiba huku kaunti zikitarajiwa kuwasilisha matokeo ya kura ya mswaada wa BBI wiki ijayo. Akizungumza na waandishi wa habari,Kimunya ametaja kuwa kesi iliopo[Read More…]
By Adano Sharawe, Wauguzi wamejiunga na Matabibu katika kusitisha mgomo wao ambao umedumu kwa zaidi ya miezi mitatu kufuatia agizo la mahakama. Katibu wa muungano wa wauguzi nchini KNUN Seth Panyako amewaagiza wauguzi kurudi kazini kufikia hapo kesho. Jaji wa mahakama ya Leba Maureen Onyango mnamoJumatatu aliwaagiza wauguzi na matabibu[Read More…]
By Samuel Kosgei, Waakilishi wadi kaunti ya Isiolo waliounga mkono ripoti ya BBI wametaja ongezeko la mgao wa kaunti kutoka asilimia 15 hadi asilimia 35 na kutambuliwa kwa jamii ya wafugaji kama sababu kuu za wao kupitisha mswada wa BBI hapo jana Waakilishi wadi hao wameunga mkono mswada huo licha[Read More…]
By Waihenya Isaac, Bunge la Kaunti ya Wajir limekuwa la hivi punde kupitisha mswada wa marekebisho wa mwaka wa 2020. Mswada huo wa marekebisho ya katiba kupitia mpango wa maridhiano ya kitaifa BBI umewasilishwa katika bunge hilo hii leo na kuuidhinisha kwa pamoja na wawakilishi wadi 36 huku mmoja akiupinga.[Read More…]
By Waihenya Isaac, Kamati ya kitaifa ya mpango wa BBI imetaja kuwa itanza kampeni za kupigia debe Ripoti hiyo kuanzia jumatatu wiki ijayo. Kwa mujibu wa viongozi wa kamati hiyo,Junet Mohamed na Denis Waweru ni kuwa mipango ya kuanza kampeni za kuipa umaarufu zaidi ripoti ya BBI imekamilika. Viongozi hao[Read More…]
By Silivio Nangori, Rais Uhuru Kenyatta amewapongeza wakilishi wadi mbali mbali Nchini waliopitisha mswaada wa maridhiano BBI. Akizungumza katika eneo la kayole jijini Nairobi katika Hafla ya Kufuangua Hospitali,Rais amesema kwamba serikali yake itaendelea kushughulikia maendeleo ya nchi. Aidha Kenyatta amewataka viongozi kuungana kutatua matatizo kwa sauti moja kuliko kuleta[Read More…]
By Waihenya Isaac, Akina mama katika maeneo ya Samburu Magharibi wametoa ahadi ya kushirikiana kama jamii kuhakikisha kuwa watoto wote ambao hawajaripoti shuleni kufikia sasa wamerejea. Wakiongozwa na Mwanaharakati wa kutetea haki za watoto wasichina Daktari Josphine Kulea, akina mama hao wamesema kuwa kwa pamoja watahakikisha kuwa watoto wote wa[Read More…]
By Waihenya Isaac, Viongozi mbali mbali pamoja na wenyenji wa kaunti ya Garissa wanaendelea kumuomboleza aliyekuwa Seneta wao Yussuf Hajji aliyeaga dunia siku ya Jumatatu. Maombi Maalum yanatajiwa kuandaliwa katika shule ya Young Muslim kabala ya kuelekea nyumbani kwake Ijarra. Waziri wa fedha Ukur Yattani, Gavana wa Garissa Ali Korane,[Read More…]