Featured Stories / News

Spika Wa Bunge La  Seneti Ken Lusaka  Kupokea Azimio La Bunge La Kaunti Ya Nairobi La Kumbandua Gavana Wa Nairobi Mike Sonko Mamlakani

Picha: Hisani By Waihenya Isaac, Spika Wa Bunge La  Seneti Ken Lusaka  Anatarajiwa Kupokea Azimio La Bunge La Kaunti Ya Nairobi Kupitisha Hoja Ya Kumuondoa Mamlakani Gavana Wa Nairobi Mike Sonko. Hii Ni Baada Ya Hoja Ya Kutokuwa Na Imani Na  Gavana Sonko Kupitishwa Hiyo Jana Ambapo Wakilishi Wadi  88[Read More…]

Upepo Ulioandamana Na Mvua Wang’oa Paa Ya Darasa Moja Na Ofisi Ya Walimu, Katika Shule Ya Upili Ya Helu Eneobunge La Moyale.

Picha: Hisani Na Samwel Kosgei, Shule Ya Upili Ya Helu Iliyoko Eneobunge La Moyale Kaunti Hii Ya Marsabit Inakadiria Hasara Ya Maelfu Ya Pesa Baada Ya Upepo Iliyoandamana Na Mvua Kung’oa Paa Ya Darasa Moja Na Ofisi Ya Walimu. Akizungumza Na Shajara Ya Jangwani Kwa Njia Ya Simu Mwalimu Wa Shule Hiyo[Read More…]

Kenya Yaungana Na Ulimwengu Mzima Kuadhimisha Siku Ya Kupambana Na Ukimwi Duniani

By Adano Sharawe & Sanwel Kosgei, Kenya Inaungana Na Ulimwengu Mzima Katika Maadhimisho Ya Siku Ya Kupambana Na Ukimwi Duniani Wakati Ambapo Dunia Nzima Inajizatiti Kukabiliana Na Maambukizi Ya Virusi Vya Covid-19. Wataalam Wanaonya Kuwa Juhudi Zilizoafikiwa Za Kukabiliana Na UKIMWI, Huenda Zikapotea Kwani Nguvu Nyingi Kwa Sasa Zinatumika Katika Vita[Read More…]

Equity Appoints Samuel Onyango as a new Director to the Kenya Board

Equity has announced the appointment of Samuel Onyango as a Non-Executive Director to its Equity Bank (Kenya) Limited (EBKL) Board.   Samuel has extensive leadership experience in a wide range of professional services as a Certified Auditor, Company Secretary, Arbitrator, and Mediator, including his contribution to the development of the accounting profession in[Read More…]

Subscribe to eNewsletter