Local Bulletins

regional updates and news

Vyama Vya ODM, KANU, NARC Na PNU Katika Kaunti Ya Isiolo Kufanya Kazi Kwa Umoja Ili Kuhakikisha Ripoti Ya BBI Inapata Uungwaji Mkono.

By Samuel Kosgei, Vyama vinne katika kaunti ya Isiolo kikiongozwa na chama cha ODM, KANU, NARC na PNU wamejitokeza na kudokeza kwamba watafanya kazi kwa umoja ili kuhakikisha ripoti ya BBI inapata uungwaji mkono kutoka kwa wakaazi wa kaunti ya Isiolo. Wakiongea na vyombo vya habari katika afisi za ODM[Read More…]

Read More

Wakazi Wa Kaunti Ya Samburu Waamrishwa Kuwasilisha Bunduki Haramu Ambazo Wanamiliki Kama Njia Moja Ya Kuimarisha Usalama Katika Kaunti Hiyo.

By Waihenya Isaac, Wakazi wa kaunti ya Samburu waamrishwa kuwasilisha bunduki haramu ambazo wanamiliki kama njia moja ya kuimarisha usalama Katika kaunti hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa polisi Katika kaunti ya samburi Samson Ogelo amesema kuwa Bunduki haramu kumi na saba zimetolewa mikononi mwa raia katika kipindi[Read More…]

Read More

Marehemu Simeon Nyachae Kupumuzishwa Katika Hafla Ya Siri Mnamo Siku Ya Jumatatu Feb 15 Mwaka Huu Nyumbani Mwake Nyosia Kijijini Nyaribari Chache Katika Kaunti Ya Kisii.

By Jillo Dida Jillo, Aliyekuwa waziri Marehemu Simeon Nyachae atapumuzishwa katika hafla ya siri mnamo siku ya Jumatatu Feb 15 mwaka huu nyumbani mwake Nyosia kijijini Nyaribari Chache katika kaunti ya Kisii. Haya ni kulingana na Taarifa kutoka kamati na Familia lake ikiongozwa na mwanawe Charles Nyachae. Aidha ibada ya[Read More…]

Read More

Asilimia 70 Ya Vijana Nchini Watapiga Kura Kuangusha Mpango Mzima Wa (BBI) Ikiwa Ingefanyika Leo Huku Asilimia 30 Wakiunga Mkono.

By Samuel Kosgei, Utafiti mpya uliofanywa sasa unaonesha kuwa asilimia 70 ya vijana nchini watapiga kura kuangusha mpango mzima wa (BBI) ikiwa ingefanyika leo huku asilimia 30 wakiunga mkono. Utafiti huo uliotolewa na Taasisi ya Emerging Leaders Foundation (ELF) Afrika, umefichua kuwa asilimia 40 wavulana wataipinga huku asilimia 21 wakiunga[Read More…]

Read More

Wabunge Sylvanus Osoro Na Simba Arati Waorodheshwa Katika Orodha Ya Aibu Iliyotolewa Na Tume Ya Uiano Na Utengamano Nchini NCIC.

By Waihenya Isaac, Tume ya uiano na utengamano Nchini NCIC imetoa onyo kwa wanasiasa wanaotumia mazishi kama jukwa la kueneza chuki baina ya wananchi. Akizungumza na vyombo vya habari mwenyekiti wa tume hiyo Samuel Kobia amesema kuwa NCIC itahakikisha kuwa wananchi wanadhibitiwa ili kuzuia mgawanyiko Nchini. Kadhalika Tume hiyo imetoa[Read More…]

Read More

Viongozi Wa Kidini Jimboni  Marsabit  Watoa Wito Wa Kutafutwa Kwa Suluhu La Utovu Wa Nidhamu Shuleni

Picha;Hisani   By Samuel Kosgei, HUKU utovu wa nidhamu shuleni ukizidi kushuhudiwa na shule kadhaa kuteketezwa na wanafunzi nchini, wito wa suluhu kupatikana unazidi kutolewa na viongozi wa kidini. Kufikia sasa shule zaidi ya 10 zimeteketezwa na wanafunzi kote nchini. Akizungumza na shajara ya radio jangwani, askofu wa kanisa la[Read More…]

Read More

Asilimia 97% Ya Wanafunzi Wa Shule Za Msingi Na Asilimia 96 Ya Wale Wa Sekondari Katika Kaunti Ya Marsabit Wamerejea Shuleni – Asema Kamishna Paul Rotich.

By Silivio Nangori, Kamishna wa kaunti ya Marsabit Paul Rotich amewarai wazazi kuwaelekeza watoto wao katika maswala mengi za maisha na katika masomo yao ili kupunguza utovu wa nidhamu. Akizungumza na kituo hiki Rotich amesema kwamba asilimia 97% ya wanafunzi wa shule za msingi na asilimia 96 ya wale wa[Read More…]

Read More

Wanaume 12 wamefikishwa,mbele ya mahakama ya Marsabit kwa kosa ya kuendesha piki piki bila stakabadhi hitajika.

By Jillo Dida Jillo, Wanaume 12 wamefikishwa,mbele ya mahakama ya Marsabit kwa kosa ya kuendesha piki piki bila stakabadhi hitajika. 12 hao walikamatwa na maafisa wa trafiki jumapili tarehe 31 mwezi Januari mwaka huu katika soko la Merile kaunti ndogo ya Marsabit Kusini. Wameshtakiwa kwa makosa ya kuendesha piki piki[Read More…]

Read More

Baadhi Ya Wachuuzi Mjini Marsabit Waandamana Hii Leo Wakilalamika Kuhusu Nyongeza Ya Kodi Kutoka Shilingi 20 Hadi 100.

By Mark Dida & Silvio Nangori Wachuuzi kutoka kaunti ya Marsabit eneo Bunge la Saku wameandamana hii leo  wakilalamika kuhusu nyongeza ya Kodi kutoka shilingi 20 Hadi 100. Miongoni mwa malalamishi yao ni kwamba wanaokusanya Kodi wanafanya shughuli hiyo kwa ubaguzi jambo ambalo wengi wanadai ni hali ya kudhulumiwa ikizingatiwa[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter