Local Bulletins

regional updates and news

Wanaopinga Kura Ya Maoni Ya BBI Wanapaswa Kutumwa Nyumbani Kwa Kutochaguliwa Katika Uchaguzi Mkuu Wa 2022.

By Samuel Kosgei, Mwakilishi wa Mwanamke wa Homa Bay Gladys Wanga sasa anasema wanasiasa wote wanaopinga kura ya maoni ya BBI wanapaswa kutumwa nyumbani kwa kutochaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa 2022. Wanga amesema haitakuwa haki kwa wanasiasa hao kuruhusiwa kutekeleza BBI ikiwa itapita ikizingatiwa kuwa hawana nia njema. Mbunge huyo[Read More…]

Read More

Kaunti Zilizopo Mipakana Mwa Nchini Zimetakiwa Kuchukua Tahadhari Ili Kuzuia Wimbi Jipwa La Virusi Vya Korona.

By  Waihenya Isaac, Kaunti zilizopo mipakana mwa nchini zimetakiwa kuchukua tahadhari ili kuzuia wimbi jipwa la virusi vya korona. Akizungumza alipozuru hospitali ya Rufaa ya Narok kaunti ya Narok hii leo waziri wa afya Mutahi Kagwe ametaja kuwa kaunti zilizopo Katika mipaka ya kenya na mataifa mengine zipo Katika hatari[Read More…]

Read More

Jamaa Za Waadhiriwa Wa Mkasa Wa Mauaji Ya Wagala Kaunti Wajir Bado Wanadai Haki Miaka 37 Baada Ya Unyama Huo Kufanyika.

By Waihenya Isaac Jamaa za waadhiriwa  wa mkasa wa  mauaji ya Wagala kaunti Wajir bado wanadai haki miaka 37 baada ya unyama huo kufanyika. Wakizungumza jiji Nairobi Katika maadhimisho ya kukumbuka siku ilipotokea mauaji hayo,Jamii ya Degodia ameitaka serekali kuwalipa fidia waadhiriwa kama ilivyopendekezwa na Ripoti ya Kweli haki na[Read More…]

Read More

Mzee Mmoja Amuua Kwa Kumkatakata Mwanawe Mwenye Umri Wa Miaka 43 Kijiji Cha Karugu Kilichoko Eneo La Gikuu Embu Mashariki Kaunti Ya Embu.

By Waihenya Isaac, Hali ya huzuni imekikumba kijiji cha Karugu kilichoko eneo la Gikuu Embu mashariki kaunti ya Embu baada ya mzee mmoja kumuua kwa kumkatakata mwanawe mwenye umri wa miaka 43. Inadaiwa kuwa maremu Alexender Munene aliyekuwa mlevi alikuwa ameenda kutatua mzozo baaina ya wazazi wake,wakati babake mzazi Benjamin[Read More…]

Read More

Serikali Itahakikisha Miradi Yote Ya Kitaifa Imekamilika – Asema Katibu Katika Wizara Ya Mawasiliano Jerome Ochieng

  By Samuel Kosgei. Serikali imesisitiza kuwa itahakikisha miradi yote ya kitaifa imekamilika. Katibu katika wizara ya mawasiliano Jerome Ochieng amesema kuwa serikali imetenga mabillioni ya pesa kwa miradi hiyo na haitaiacha. Akizungumza katika eneo la Mogotio, kaunti ya Baringo, Ochieng amekana madai kuwa juhudi nyingi zimeelekezwa kwa BBI badala[Read More…]

Read More

Maafisa Wa Polisi Kutoka Kambi Ya Mafunzo Ya Kedong Na OCPD Wa Naivasha Waharibu Zao La Bhangi Lenye Thamani Ya Sh Milioni 27.

By Samuel Kosgei, Kitengo cha maafisa wa upelelezi wa kukabiliana na dawa za kulevya, maafisa wa polisi kutoka kambi ya ya mafunzo ya  Kedong na OCPD wa Naivasha wameharibu zao la bhangi lenye thamani ya Sh Milioni 27. Washukiwa 14 ambao walipatikana wakipalilia bhangi hiyo kwenye shamba la zaidi ya ekari[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter