Taylor Swift Unveils New Secret Double Album.
April 19, 2024
regional updates and news
By Machuki Dennson The National Land Commission has officially appointed Kabale Tache Arero as the new Chief Executive Officer following rigorous recruitment process that was concluded yesterday. Up to her confirmation Kabale was the acting Commission’s Secretary/CEO and substantively has been the Director of Human Resource Management & Administration. She[Read More…]
Na Samuel Kosgei Aliyekuwa mbunge wa North Horr Chachu Ganya alipokelewa kwa shangwe na mbwembwe katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JKIA baada ya kurejea nchini akitokea Marekani alikotuzwa tuzo ya kimataifa ya marekani ya Sol Feistone aliyopewa baada ya jitihada zake za kuwasaidia watoto maskini zaidi ya 2000[Read More…]
Na Isaac Waihenya Mbunge wa Moyale Profesa Guyo Wako Jaldesa amedhibitisha kuwa ni kweli kuna baadhi ya wanafunzi katika eneo bunge lake wanaopewa hadi shilingi elfu 100,000 fedha za busari ya CDF. Akizungumza na Radio Jangwani kwa njia ya Simu, mtunga sheria huyo alitaja kuwa hilo liliafikiwa kati yake na[Read More…]
Na Silvio Nangori Mshukiwa wa wizi wa piki piki karibu na Shemeji inn katika eneo bunge la saku amefikishwa katika mahakama ya Marsabit. Inadaiwa kwamba Isaak Hussein Guracha alihusika katika wizi wa piki piki aina ya Skygo yenye nambari ya usajili KMGG 787P inayogharimu Sh 241,645 tarehe 5 Juni,2023 mali[Read More…]
Na Samuel Kosgei WAWAKILISHI wadi kaunti ya Marsabit walijiunga na wenzao kote nchini kugoma kwa kususia majukumu yao kama MCAs baada ya serikali kupuuza malalamishi yao kadhaa ikiwemo nyongeza ya mishahara na kunyimwa hazina ya wadi. Kiongozi wa wengi katika bunge la Marsabit Bernard Leakono akizungumza na Shajara ya Jangwani[Read More…]
By Radio Jangwani President William Ruto has said trade between the two countries is still low despite the huge potential. Speaking at State House in Nairobi on Monday the head of state said the two countries will sign a trade pact that will give business the necessary impetus. Ruto spoke[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Ni afueni kubwa sasa kwa wakaazi wa Bubisa eneobunge la North Horr kaunti ya Marsabit baada ya mashine ya kusafisha maji kwa kutoa madini ya chumvi kuzinduliwa rasmi na shirika la PACIDA na washirika wake mjini humo. Afisa mkuu mtendaji wa shirika la PACIDA Marsabit, Patrick Katelo[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Polisi mjini Kitengela kaunti ya Kajiado wanamzuilia mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 27 ambaye anadaiwa kumua mwanawe mwenye umri wa maiaka 2 kwa kumkata kata vipande kwa kisu, kisha akala sehemu za ndani za mwili wa mtoto huyo kama vile maini na matumbo. Kamanda wa Polisi[Read More…]
President William Ruto has asked public servants to serve Kenyans with honour and dignity. He said they must routinely consult and agree to be informed so that they can help move the country forward. “It is time to come together, and work together, irrespective our political biases, to offer our[Read More…]
By Machuki Dennson 213 people were arrested in Nairobi following the Azimio la Umoja One Kenya Monday protests that paralysed all the economic activities of the city. 24 police officers were injured and 10 police vehicles damaged in Nairobi alone. According to the statement by the Inspector General[Read More…]