Author: Isaac Waihenya

Serikali ya Marsabit Yaitelekeza zahanati ya Toricha iliyojengwa na kusalia magofu

By Guyo Godana. NA Guyo Godana Wakaazi wa eneo la Toricha katika wadi ya Maikona, wamelalamikia kusahaulika n ahata kutelekezwa na serikali ya kaunti ya Marsabit. Wenyeji hao wakiszungumza na Radio Jangwani wanasema kwamba zahanati ilijengwa katika eneo hilo miaka mitano iliyopita ila kufikia sasa hawajaona matunda yoyote ya zahanati[Read More…]

Read More

Gavana wa Marsabit Mohammud Ali amesema Idara ya usalama katika kaunti ya Marsabit ina mapendeleo

By Samuel Kosgei, Gavana wa Marsabit Mohammud Ali amekashifu vikali Idara ya usalama katika kaunti ya Marsabit kwa madai ya kuzembea kazini na kuchangia kudumu kwa machafuko na mauaji ya kila mara katika jimbo la Marsabit. Akizungumza katika hafla ya kuzindua kliniki ya saratani katika hospitali kuu ya Marsabit, Ali[Read More…]

Read More

Wizara Ya Afya Yaomba Shilingi Bilioni 1.4 Kutoka Wizara Ya Fedha Kupanua Vituo Vya Kuhifadhi Chanjo

By Adano Sharawe, Wizara ya Afya imeomba Shilingi bilioni 1.4 kutoka Wizara ya Fedha kupanua vituo vya kuhifadhi chanjo kote nchini na kununua vifurushi ambavyo vinaweza kuhifadhi chanjo hizo katika kiwango cha nyuzi kinachokubalika. Mkuu wa jopo la kusambaza chanjo za kukabiliana na maradhi ya Corona Willis Akhwale, amesema vituo[Read More…]

Read More

Afueni Kwa Wakaazi Wa Jimbo La Marsabit Haswa Wanaougua Ugonjwa Wa Saratani Baada Ya Kliniki Ya Kuchunguza Na Kutoa Ushauri Kwa Kero La Saratani Kuzinduliwa Rasmi Hii Leo.

By Samuel Kosgei, Huenda ikawa afueni kwa wakaazi wa jimbo la Marsabit haswa kwa wale wanaougua ugonjwa wa saratani baada ya kliniki ya kuchunguza na kutoa ushauri kwa kero la saratani kuzinduliwa rasmi hii leo. Shughuli ya uzinduzi huo imeongozwa na Gavana Mohamoud Ali. Mama kaunti Alamitu Jattani ambaye ndiye[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter