Author: Isaac Waihenya

Wawakilishi Wadi Wa Kaunti Ya Marsabit Wameteta Sababu Zao Kupitisha Mswada Wa BBI.

By Samuel Kosgei, WAWAKILISHI Wadi wa kaunti ya Marsabit wameteta sababu zao kupitisha mswada wa kubadilisha katiba mwaka wa 2020 wakidai kuwa ni mswada mzuri kwa wakaazi wa marsabit ikizingatiwa kuwa kaunti nyingi imechangamkia mchakao huo wa BBI. Wakizungumza nje ya bunge lao MCAs hao wakiongozwa na kiongozi wa wengi[Read More…]

Read More

Waakilishi Wadi Kaunti Ya Isiolo Waliounga Mkono Ripoti Ya BBI Wametaja Ongezeko La Mgao Wa Kaunti Na Kutambuliwa Kwa Jamii Za Wafugaji Kama Sababu Ya Kuupitisha.

By Samuel Kosgei, Waakilishi wadi kaunti ya Isiolo waliounga mkono ripoti ya BBI wametaja ongezeko la mgao wa kaunti kutoka asilimia 15 hadi asilimia 35 na kutambuliwa kwa jamii ya wafugaji kama sababu kuu za wao kupitisha mswada wa BBI hapo jana Waakilishi wadi hao wameunga mkono mswada huo licha[Read More…]

Read More

Shughuli Ya Kuwaajiri Makurutu Wa Polisi Imefanyika Jana Katika Vituo Mbali Mbali Kote Nchini.

    By Jillo Dida Shughuli ya kuwaajiri makurutu wa polisi imefanyika jana katika vituo mbali mbali kote nchini. Idadi ndogo ya vijana ilishuhudiwa katika vituo mbali mbali vya kaunti ndogo zote za Marsabit. Zoezi hilo limefanyika katika maeneo tofauti katika kaunti ya Marsabit yakiwa ni pamoja na Laisamis, Loiyangalani,[Read More…]

Read More

Rais Kenyatta Awapongeza Wakilishi Wadi Mbali Mbali Nchini Waliopitisha Mswaada Wa Maridhiano BBI.

By Silivio Nangori, Rais Uhuru Kenyatta amewapongeza wakilishi wadi mbali mbali Nchini waliopitisha mswaada wa maridhiano BBI. Akizungumza katika eneo la kayole jijini Nairobi katika Hafla ya Kufuangua Hospitali,Rais amesema kwamba serikali yake itaendelea kushughulikia maendeleo ya nchi. Aidha Kenyatta amewataka viongozi  kuungana kutatua matatizo kwa sauti moja kuliko kuleta[Read More…]

Read More

Akina Mama Katika Maeneo Ya Samburu Magharibi Watoa Ahadi Ya Kushirikiana Kama Jamii Kuhakikisha Kuwa Watoto Wote Ambao Hawajaripoti Shuleni Kufikia Sasa Wamerejea.

By Waihenya Isaac, Akina mama katika maeneo ya Samburu Magharibi wametoa ahadi ya kushirikiana kama jamii kuhakikisha kuwa watoto wote ambao hawajaripoti shuleni kufikia sasa wamerejea. Wakiongozwa na Mwanaharakati wa kutetea haki za watoto wasichina Daktari Josphine Kulea, akina mama hao wamesema kuwa kwa pamoja watahakikisha kuwa watoto wote wa[Read More…]

Read More

Viongozi Pamoja Na Wenyenji Wa Kaunti Ya Garissa Wanaendelea Kumuomboleza Aliyekuwa Seneta Wao Yussuf Hajji.

By Waihenya Isaac, Viongozi mbali mbali pamoja na wenyenji wa kaunti ya Garissa wanaendelea kumuomboleza aliyekuwa Seneta wao Yussuf Hajji aliyeaga dunia siku ya Jumatatu. Maombi Maalum yanatajiwa kuandaliwa katika shule ya Young Muslim kabala ya kuelekea nyumbani kwake Ijarra. Waziri wa fedha Ukur Yattani, Gavana wa Garissa Ali Korane,[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter