Featured Stories / News

MWANAUME MOJA AMESHTAKIWA KATIKA MAHAKAMA YA MARSABIT KWA KOSA LA WIZI WA MIFUGO TAKRIBAN 213.

NA CAROL WAFORO Mwanaume moja ameshtakiwa katika mahakama ya marsabit kwa kosa la wizi wa mifugo takriban 213. Inadaiwa kuwa mnamo tarehe 18 Juni mwaka 2024 katika lokesheni ya badassa kaunti ndogo ya Marsabit ya kati, kwa ushirikiano na watu wengine waliojihamu kwa bunduki mshukiwa George Leado almaarufu Lemurdato walitekeleza[Read More…]

MTU MMOJA AMETHIBITISHWA KUFARIKI DUNIA KATIKA MGODI WA HILLO ULIOKO ENEO LA DABEL ENEOBUNGE LA MOYALE.

NA CAROL WAFORO Mtu mmoja amethibitishwa kufariki dunia katika mgodi wa Hillo ulioko eneo la Dabel eneobunge la Moyale. Akithibitisha kisa hicho afisa wa upelelelezi kaunti ya Marsabit Luka Tumbo amedokeza kuwa maafisa wa polisi waliwafurusha wachimba migodi kutoka machimbo hayo mapema Jumanne asubuhi. Katika harakati hiyo watu 34 raia wa[Read More…]

WAZIRI WA FEDHA KAUNTI YA MARSABIT ADAN KANANO AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MWEZI MMOJA GEREZANI KWA KOSA LA KUDHARAU MAHAKAMA

Na Isaac Waihenya Waziri wa fedha katika serekali ya kaunti ya Marsabit Adan Kanano amehukumiwa kifungo cha mwezi mmoja gerezani kwa kukosa kumlipa mlalamshi Petro Namweni Lochich kima cha shilingi 7,181,835 kama alivyoamrishwa na mahakama mnamo tare 15 mwezi Oktoba mwaka wa 2019. Akitoa uamuzi huo hii leo katika MAHAKAMA[Read More…]

Subscribe to eNewsletter