Vijana wa Saku wamelalamikia serekali ya kaunti ya Marsabit kutoidhinisha maswala waliyoibua wakati wa vikao vya kushirikisha umaa kwenye marekebisho ya bajeti…
February 5, 2025
Na Adano Sharamo Bunge limepitisha kipengee tata cha mswada wa fedha kinachopendekeza ushuru wa asilimia 16 kwenye bidhaa za mafuta ya petroli kutokama asilimia 8. Kwenye kikao jumla ya wabunge 184 wamepiga kura kuunga mkono kupitishwa kwa kipengee hicho huku 88 wakipinga. Jumla ya wabunge 272 wa walihudhuria kikao hicho[Read More…]
Spotify has announced a new Original Podcast with Trevor Noah. The weekly podcast will merge Trevor’s humor and razor-sharp wit with his global perspective to deliver a unique take on the hottest and most captivating topics of the moment. “It’s really exciting to be joining Spotify on a fun new adventure where[Read More…]
Na Adano Sharamo Rais William Ruto amesisitiza kwamba mswada wa kifedha wa mwaka huu unalenga kufanikisha mipango yenye manufaa kwa wakenya ukiwamo ujenzi wa makazi bora kwa gharama nafuu. Akizungumza wakati wa mpango wa kusambaza chakula shuleni Ruto amesema inasikitisha kuwaona wabunge wanaoishi kwenye mitaa ya kifahari wakiupinga mswada huo.[Read More…]
Na Samuel Kosgei Wakaazi wa Marsabit wametolewa wito wa kujitokeza kufanyiwa uchunguzi na vipimo vya macho mara kwa mara kabla ya kupoteza uwezo wa kuona. Mhudumu wa afya kitengo cha macho katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Galgalo Arero akizungumza nasi alisema kuwa kwa muda wengi wa wakaazi wa Marsabit[Read More…]
Na Samuel Kosgei Mwakilishi wa kike kaunti ya Marsabit Naomi Jilo Waqo amekariri haja ya wananchi wa Marsabit kuzidi kuishi kwa amani na kuzidi kuvumiliana kwa minajili ya maendeleo ya jimbo. Akizungumza na kituo hiki kwenye kipindi cha Bunge Letu Asubuhi, Naomi alikumbusha umuhimu wa kuishi kwa uwiano kati ya jamii[Read More…]
Bebe Rexha was winding up her show in New York on Sunday night (18.06.23) when a mobile phone was thrown towards the stage and struck her in the head. She has reassured her fans that she is doing okay now after being rushed to the hospital. The ordeal was recorded[Read More…]
Na John Bosco Nateleng Visa vya mimba za mapema kwa watoto wasichana vinazidi kuripotiwa katika kaunti ya Marsabit. Haya ni kwa mujibu wa Mtetezi wa haki za kibinadamu jimboni Nuria Gollo. Akizungumza na wanahabari hapa mjini, Nuria alitaja kwamba eneo bunge la Saku ndio imeripoti visa vingi vya mimba[Read More…]
Na Samuel Kosgei Viongozi wa kaunti tatu za Tana River, Isiolo na Marsabit (TIM) ambayo ni sehemu ya eneo pana la kaskazini mwa nchini FCDC wameahidi serikali kuwa wamejitolea kushirikiana na serikali kuimarisha usalama katika maeneo yao. Viongozi hao wakiongozwa na gavana wa Marsabit Mohamud Ali walimtaka waziri wa usalama[Read More…]
Na Adano Sharamo Kenya imesaini mkataba wa maelewano na muungano wa bara Ulaya-EU ambao utaimarisha biashara baina ya Kenya na nchi 27 za bara Ulaya. Akizungumza kwenye ikulu rais William Ruto amesema kwamba kwenye makubaliano hayo Kenya itaongeza kiwango cha bidhaa za kilimo ambazo zinauzwa katika masoko ya Ulaya. Rais[Read More…]
By Machuki Dennson One suspect was last night arrested in connection to a theft syndicate that has been vandalizing Kenya power and lightening company equipment. Florence Kariuki, 30 was arrested during the raid as efforts to arrest the main suspect in the syndicate is intensified. Detectives recovered in Kiambu county[Read More…]