Uchunguzi waendelea kufuatia tukio la mtu kudungwa kisu Majengo
Na Mwandishi wetu Polisi mjini Marsabit wanaendeleza uchunguzi kuhusu tukio la mtu mmoja kudungwa kisu katika eneo…
Walengwa wa HSNP Marsabit watakiwa kusubiri malipo ya mwezi mmoja
Na Nyabande Orwa Siku chache baada ya walengwa wa mpango wa Hunger Safety Net Programme (HSNP) katika…
Hali ya ukavu kuendelea kutawala Marsabit wiki hii
Na JB Nateleng Sehemu kubwa ya kaunti ya Marsabit zinatarajiwa kuendelea kushuhudia hali ya ukavu…
Mtu mmoja auawa, na mwingine akijeruhiwa katika shambulizi la Dabel.
Na Joyce Akinyi Mtu mmoja ameuawa huku mwingine akijeruhiwa vibaya kufuatia shambulizi la kutumia bunduki…
Serikali yahamasisha wafugaji Marsabit kujiunga na vyama vya ushirika
Na Nyabande Orwa Kama njia mojawapo ya kuwawezesha na kuwaendeleza wafugaji katika Kaunti ya Marsabit,…
Wachuuzi wa miraa Marsabit Central waandamana kulalamikia kutelekezwa na serikali kuu
Na JB Nateleng Wachuuzi wa miraa Marsabit Central, eneo bunge la Saku, kaunti ya Marsabit,…
Wanaharakati wa Moyale Waandamana Kutetea Haki za Wanawake na Uongozi wa Kike.
Na Abdilaziz Yusuf Wanaharakati pamoja na baadhi ya wakazi wa Kaunti Ndogo ya Moyale leo…
Kamishna wa Kaunti ya Marsabit aonya dhidi ya uhalifu wa Wahuni
Na JB Nateleng Kamishna wa kaunti ya Marsabit, Stanley Kamande, amesema serikali haitavumilia vitendo vya…
FH yaadhimisha miaka 50 ya huduma kwa jamii Marsabit
Na Nyabande Orwa Shirika lisilo la kiserikali la Food for the Hungry (FH) limeadhimisha miaka…
Vijana zaidi ya 1500 katika kaunti ya Marsabit  kupokea  mgao wa Nyota Fund  awamu ya pili.
Na Sabalua Moses Zaidi ya vijana 1,500 katika kaunti ya Marsabit wamepokea fedha za mpango…
Vyama vya ushirika vyatajwa kuwa nguzo ya maendeleo Marsabit.
Na Nyabande Orwa Naibu Gavana wa kaunti ya Marsabit, Solomon Gubo, amewahimiza wakazi wa kaunti hii kujijengea uwezo…
Shirika la SND lataja ushirikiano kuwa nguzo ya maendeleo Marsabit.
Na Nyabande Orwa Ushirikiano kati ya serikali ya kaunti, mashirika ya maendeleo na wadau wengine…