Diocese of Marsabit

WAAKAZI WA MARSABIT WATOA HISIA ZAO KUHUSIANA NA MAPENDEKEZO YA BAADHI YA VIONGOZI WA KIDINI NCHINI KUTAKA MIRAA IPIGWE MARUFUKU.

Waakazi wa Marsabit wametoa hisia zao kuhusiana na mapendekezo ya baadhi ya viongozi wa kidini ya kupigwa marufuku utumiaji wa miraa hapa nchini. Baadhi ya waliozungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia kipekee wameitaja hatua ya kupiga marufuku zao hilo kama itakayo wakandamiza wanaotegemea biashara ya miraa kama kitega[Read More…]

Read More

SIKU MOJA BAADA YA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGUA KUMUOMBA MSAMAHA RAIS WILIAM RUTO KUHUSIANA NA IWAPO AMEKOSEA, WAKAAZI WA MARSABIT WAMETOA MAONI YAO KUHUSIANA NA HATUA HIYO.

Siku moja tu baada ya naibu wa Rais Rigathi Gachagua kumuomba msamaha Rais Wiliam Ruto kuhusiana na iwapo amekosea na kupelekea mswaada wa kutaka abanduliwe mamlakani kufikishwa bungeni, baadhi ya wakaazi wa Marsabit wametoa maoni yao kuhusiana na hatua hiyo. Baadhi ya waliozungumza na Shajara ya Radio Jangwani wametaja kuwa[Read More…]

Read More

POLISI MJINI MARSABIT WANAMZUILIA MWANAMME MMOJA MWENYE UMRI WA MIAKA 37 AMBAYE ALIYEKAMATWA JANA JIONI KWA MAKOSA YA KUIBA SHILINGI ELFU 69 KATIKA DUKA LA MPESA MJINI MARSABIT.

Polisi mjini Marsabit wanamzuilia mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 37 ambaye aliyekamatwa jana jioni kwa makosa ya wizi katika duka la MPesa mjini Marsabit. Akidhibitisha kisa hicho OCS wa Marsabit Central Edward Mabonga ametaja kwamba mhalifu kwa jina Musei Ndemwa alitiwa mbaroni jana jioni katika eneo la Frontline karibu[Read More…]

Read More

WAKENYA WATAKIWA KUKATAA KUGAWANYWA KWA MISINGI YA KIKABILA…

Wakenya wametakiwa kukataa kugombanishwa viongozi wa kisiasa na badala yake wasimame kidete kama wazalendo. Kwa mujibu wa Askofu mkuu wa jimbo kuu la Nyeri Askofu Antony Muheria kwenye ujumbe wake jana ni kuwa baadhi ya viongozi wanaeneza chuki baina ya jamii jambo linalohataisha uiano wa nchi. Akizungumza katika ibada ya[Read More…]

Read More

HISIA KINZANI ZIAIBULIWA KATIKA KIKAO CHA UMAA CHA KUTOA MAONI KUHUSIANA MSWAADA WA KUMBADUA MAMLAKANI NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGUA.

Hisia kinzani zimeibuliwa katika kikao cha umaa cha kutoa maoni kuhusiana mswaada wa kumbadua mamlakani naibu wa rais Rigathi Gachagua. Baadhi ya wananchi ambao wamezungumza katika kikao hicho ambacho kimeandaliwa katika ukumbi wa kanisa Katoliki hapa mjini Marsabit, wametaja kuunga mkono ajenda ya kumtimua naibu wa rais kwa kile wamekitaja[Read More…]

Read More

POLISI KAUNTI YA MARSABIT WAMUUA MHALIFU MMOJA KATIKA ENEO LA BADASA BAADA YA JARIBIO LA WIZI WA MIFUGO KUTIBUKA

Polisi katika kaunti ya Marsabit wamemuua mhalifu mmoja katika eneo Badasa baada ya jaribio la wizi wa mifugo kutibuka. Akithibitisha kisa hicho kamanda wa polisi kaunti ndogo ya Marsabit ya kati, Edward Ndirangu amesema kuwa kisa hichi kilijiri jana saa sita mchana, ambapo watu waliokuwa wamejihami na bunduki walivamia wafugaji[Read More…]

Read More

BAADHI YA VIJANA WA KIZAZI KIPYA ALMAARUFU GEN ZS KATIKA MJI WA MARSABIT WATOA HISIA ZAO KUHUSISNA NA KAULI INAYOZAGAA KUWA HAWASAIDII WAZAZI WAO.

Na Naima Abdullahi, Baadhi ya vijana wa kizazi kipya almaarufu Gen Zs katika mji wa Marsabit wametoa hisia zote kuhusisna na kauli inayozagaa kuwa hawasaidii wazazi wao. Wakizungumza na Radio Jangwani vijana hao walilaumu ugumu ya maisha kama ya moja ya changamoto zinazopelekea wao kutowasidia wazazi. Aidha baadhi ya Gen[Read More…]

Read More

WANAMARSABIT WATAKIWA KUWATUNZA WAZEE NA KUWAEPUSHA NA MADHARA.

Na Naima Abdullahi & Kame Wario, Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya wazee duniani hapo jana,jamii ya Marsabit imetakiwa kuwatunza wazee ili kuwaepusha na madhara. Kwa mujibu wa afisa wa huduma za jamii katika kaunti ya Marsabit Habiba Ailo Adan ni kuwa jamii inafaa kuwatunza wazee na kuasi kasumba ya kuwatelekeza.[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter