County Updates

County updates, notifications, news from the Marsabit County

Waakazi Wa Kaunti Ya Marsabit Watoa Kauli Yao Kuhusiana Na Semi Za Walala Hoi Na Walala Hai Yaani Hustlers Na Dynasties.

By Jillo Dida, Siku moja baada ya tume ya uwiano na utangamano kuonya dhidi ya Mjadala wa walala hoi na walala hai yaani hustlers na dynasties kwa madai kuwa inakosanisha wakenya baadhi ya wakaazi tuliozungumza nao  hapa marsabit wamedai kuwa Kenya iteendelea kugawanyika Zaidi kwenye msingi wa maskini na matajiri. Gumzo hilo[Read More…]

Read More

Tume Ya Uiano Na Utengamano Nchini NCIC Inangangana kuwarejesha viongozi wa kaunti ya Marsabit Katika meza ya mazungumzo baada ya mazungumzo ya hapo awali kusabaratika.

By Waihenya Isaac, Tume Ya Uiano Na Utengamano Nchini NCIC Inangangana kuwarejesha viongozi wa jimbo hili Katika meza ya mazungumzo baada ya mazungumzo ya hapo awali kutawanyika. Hayo ni kwa mujibu wa kamishna wa tume hiyo Denvas Makori. Akizungumza na Idhaa hii kwa njia ya simu, Makori ametaja swala la[Read More…]

Read More

KWS Marsabit Yatoa Wito Wa Uwepo Amani Ili Utalii Uimarike Jimboni.

By Mark Dida, Naibu  mkurugenzi wa shirika la kuhifadhi wanyama pori kaunti ya Marsabit Robert Obran amesema kuwa wanaendelea kufanyia tafiti pembe za ndovu zilizopatikana na majangili waliotiwa mbaroni na maafisa wa kulinda msitu KWS ili mahakama  kufanya maamuzi. Hata hivyo Obran ametoa uwito kwa wakaazi wa Marsabit kuchukua jukumu[Read More…]

Read More

Zaidi Ya Vijana 2,000 Katika Kaunti Ya Marsabit Walijitokeza Kwenye Zoezi La Kusajiliwa Kama Vibarua Katika Shirika La Huduma Kwa Wanyamapori Nchini KWS.

By Mark Dida, Zaidi Ya Vijana 2,000 Katika Kaunti Ya Marsabit Walijitokeza Kwenye Zoezi La Kusajiliwa Kama Vibarua Katika Shirika La Huduma Kwa Wanyamapori Nchini KWS. Naibu Mkurugenzi Mkuu Wa KWS Kaunti Ya Marsabit Robert Obrein Amesema Wamesajili Vijana 93 Kutoka Kaunti Zote Ndogo Jimboni Kati Ya Vijana Zaidi Ya[Read More…]

Read More

Waziri wa Fedha Ukur Yattani atishia kuwashtaki mbunge wa Saku Dido Rasso na mwakilishi wa kike katika kaunti ya Isiolo Rehema Jaldesa kwa kumchafulia jina.

Waziri Wa Fedha Ukur Yattani. Picha; Hisani. By Adano Sharawe, Waziri wa Fedha Ukur Yattani amewapa muda wa siku 3 Mbunge wa Saku Dido Ali Rasso na Mwakilishi wa Wanawake katika kaunti ya Isiolo Rehema Jaldesa, kumuomba msamaha kwa njia rasmi. Hatua hii inafuatia baada ya wawili hao kudai Yattani[Read More…]

Read More

Wasomi kutoka kaunti ya Marsabit watoa wito kwa Rais Kenyatta Kuingilia kati kumaliza kero la utovu wa usalama.

  By Adano Sharawe, Wasomi wa Jamii ya Borana kutoka Kaunti ya Marsabit na Isiolo wametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kuingilia kati na kumaliza hali ya utovu wa usalama katika eneo la Kaskazini ambao wanasema imechochewa na migogoro juu ya mipaka na rasilimali mbalimbali. Wakihutubia wanahabari jijini Nairobi, wasomi[Read More…]

Read More

Mbunge Wa North Horr Chachu Ganya Alaani Vikali Visa Vya Mauaji, Uvamizi Na Wizi Wa Mifugo Uliofanyika Wiki Jana Katika Maeneo Ya Halakha Yahya Na Turbi

By Samuel Kosgei, Mbunge Wa North Horr  Chachu Ganya Amelaani Vikali Visa Vya Mauaji, Uvamizi Na Wizi Wa Mifugo Uliofanyika Wiki Jana Katika Eneo La Halakha Yahya Na Turbi Ambapo Watu Wawili Waliuawa Kwenye Matukio Tofauti Huku Mifugo Zaidi Ya 300 Wakiibiwa. Akizungumza Na Shajara Ya Jangwani, Ganya Ameonekana Kuunyosha[Read More…]

Read More

Oparesheni Ya Kuwasaka Wezi Wa Mifugo Walioibiwa Katika Eneo La Halakhe Yahya Inaendelea – Kamishna Paul Rotich

By Mark Dida, Kamishina kaunti ya Marsabit Paul Rotich amesema kuwa oparesheni ya wezi wa mifugo walioibiwa ktk eneo la Halakhe Yahya eneobunge la Saku inaendelea kwa siku ya pili na inatazamiwa kuzaa matunda baada ya polisi kuwatia mbaroni watu watatu katika eneo hilo. Rotich aidha ameomba viongozi kutoka kaunti[Read More…]

Read More

Mtu Mmoja Auwawa Huku Mwingine Mmoja Akiuuguza Majeraha Ya Risasi Baada Ya Majambazi Kuvamia Eneo La Maji La Halakhe Yaya Hapa Marsabit Na Kuiba Mifugo.

By Jillo Dida, Mtu Mmoja Ameuwawa Huku Mwingine Mmoja Akiuuguza Majeraha Ya Risasi Baada Ya Majambazi Kuvamia Eneo La Maji La Halakhe Yaya Eneo Bunge La Saku Kaunti Hii Ya Marsabit Na Kuiba Mifugo Leo Asubuhi. Akithibitisha Hayo Kamanda Wa Polisi Katika Kaunti Ya Marsabit Samuel Mutunga Amesema Kuwa Anayeuguza[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter