County Updates

County updates, notifications, news from the Marsabit County

Viongozi Wa Kidini Nchini Watakiwa Kuwa Katika Mstari Wa Mbele Katika Kuwaelimisha Wananchi Kuhusiana Na Mchakato Wa BBI -Asema Askofu Mkuu Martin Kivuva.

By Waihenya Isaac, Viongozi wa kidini nchini wametakiwa kuwa Katika mstari wa mbele katika kuwaelimisha wananchi kuhusiana na mchakato wa BBI. Kwa Mujibu wa  Askofu mkuu wa kanisa katoliki jimbo kuu la Mombasa Askofu mkuu Martin Kivuva ni kuwa  ni jukumu la kila kiongozi wa kidini kuelimisha waumini wake kuhusiana[Read More…]

Read More

Mshukiwa Wa Wizi Wa Mifugo Aliyenaswa Na Maafisa Wa Polisi Siku Ya Ijumaa Katika Lokesheni Ya Mata Arba Eneo La Saku Akosa Kufikishwa Mahakamani Hii Leo Kama Ilivyotarajiwa.

By Mark Dida, Mshukiwa wa wizi wa mifugo aliyenaswa na maafisa wa polisi siku ya ijumaa kufuatia makabiliano na wahalifu lokesheni ya Mata Arba eneo la Saku hakufikishwa mahakamani hii leo ilivyotarajiwa. Kulingana na OCPD wa Marsabit Central Johnston Wachira ni kuwa idara ya Upelelezi DCI imeomba mahakama siku zaidi[Read More…]

Read More

Polisi Waendelea Na Uchunguzi Wa Kisa Ambapo Mhudumu Wa Boda Boda Aliuwawa Na Pikipiki Yake Kuchukuliwa Katika Mtaa Wa Harosa Lokesheni Ya Butiye Huko Mjni Moyale Jana Jioni.

By Mark Dida, Polisi wa kenya kwa ushirikiano na wale wa nchi jirani ya Ethiopia wanaendelea na uchunguzi wa kisa ambapo mhudumu wa boda boda aliuwawa na pikipiki yake kuchukuliwa katika mtaa wa Harosa lokesheni ya Butiye huko mjni Moyale jana jioni. Kulingana na naibu kamishna wa moyale William ole[Read More…]

Read More

Wafanyibiashara Katika Kaunti Ya Marsabit Walalamikia Hatua Ya Mamlaka Ya Kudhibiti Kawi Nchini EPRA Ya Kuongeza Bei Ya Mafuta.

By Silivio Nangori, Wafanyibiashara katika sekta ya Uchukuzi kaunti ya Marsabit walalamikia hatua ya Mamlaka ya kudhibiti kawi nchini EPRA ya kuongeza bei ya Mafuta. Wakizungumza na Idhaa hii wafanyanyibiashara hao wamelalamikia kuongezeka kwa gharama ya Maisha wakidai kwamba itaongeza mzigokwa  mwananchi wa kawaida. Kwa sasa wanaomba serikali kushukisha bei[Read More…]

Read More

Shughuli Ya Kuwasajili Makurutu Wa Kujiunga Na Kikosi Cha Jeshi, KDF Imeendelea Leo Katika Kaunti Ya Marsabit Eneo Bunge La Sakuu.

By Adano Sharawe, Shughuli ya kuwasajili makurutu wa kujiunga na kikosi cha jeshi, KDF imeendelea leo katika kaunti ya Marsabit eneo bunge la Sakuu, huku vijana wengi wakikosa nafasi ya kujiunga na kikosi hicho licha ya kuwa na vyeti vinavyohitajika. Luteni Kanali Martin Maluki ambaye ndiye msimamizi wa zoezi hilo[Read More…]

Read More

Polisi Wamtia Mbaroni Mhalifu Mmoja Na Kufanikiwa Kuwarejesha Zaidi Ya Mifugo 29 Walioibiwa Katika Eneo La Mata Arba Hapa Jimboni Marsabit.

By Mark Dida, Idara ya polisi haitalegeza kamba Katika juhudi za kukabiliana na wezi wa mifugo hapa jimboni Marsabit. Hayo ni kwa mujibu wa OCPD wa Marsabit ya kati Johnstone Wachira. Wachira ameyataja hayo baada ya maafisa wa polisi kufanikiwa kuwarejesha zaidi ya mifugo 29 walioibiwa jana jioni katika eneo la Mata[Read More…]

Read More

Vyombo Vya Usalama Jumanne Vilifanikiwa Kulizima Jaribio La Shambulizi Dhidi Ya Kituo Cha Polisi Cha Turbi Eneo Bunge La North Horr Katika Kaunti ya Marsabit.

By Adano Sharawe, Vyombo vya Usalama Jumanne vilifanikiwa kulizima jaribio la shambulizi dhidi ya Kituo cha Polisi cha Turbi eneo bunge la North Horr katika Kaunti ya Marsabit. Hii ni kulingana na Kaimu Mkuu wa Polisi eneo la Turbi David Muthure aliyefichua kwamba watu wanne waliwafyatulia risasi maafisa wa kituo[Read More…]

Read More

Mbunge Wa Moyale Qalicha Gufu Aitaka Tume Ya NCIC Kumkamata Na Kumshtaki Aliyekuwa Mwakilishi Wa Wadi Ya Torbi, Pius Yatani Kwa Kutoa Matamshi Ya Uchochezi.

By Jillo Dida Jillo, Mbunge wa Moyale Qalicha Gufu   ameiomba serikali na tume ya maridhiano ya kitaifa NCIC kumkamata na kumshtaki aliyekuwa mwakilishi wa wadi ya Torbi, Pius Yatani kwa kutoa matamshi ya uchochezi ya kijamii katika kaunti ya Marsabit miaka miwili iliyopita. Mbunge huyo ameteta kuwa licha ya agizo la polisi kumkamata mwanasiasa huyo, bado[Read More…]

Read More

Wakazi Wa Turbi Watoa Changamoto Kwa Serikali Kumaliza Kero La Utovu Wa Usalama Unaoshuhudiwa Jimboni.

By Adano Sharawe, Wakazi wa Turbi eneo bunge la North Horr wametoa changamoto kwa serikali kumaliza kero la utovu wa usalama unaoshuhudiwa jimboni, hasa kwenye mpaka wa Sololo na Turbi. Wakiongozwa na Roba Bonaya, wenyeji waliozungumza na idhaa hii wameelezea kuhofia usalama wao kwani sasa majambazi wenye silaha hatari wanaonekana[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter