Local Bulletins

regional updates and news

Shuguli ya kuwagawia wafanyibiashara nafasi katika soko jipya la Marsabit yarejelewa hii leo.

By Samson Guyo, Shuguli ya kuwagawia wafanyibiashara  nafasi haswa walio adhirika baada ya ubomozi uliofanyika kabla ya ujenzi wa soko jipya la Marsabit imerejelewa hii leo. Kulingana na mwenyekiti wa manispaa ya mji wa Marsabit Roba Sereka, ni kuwa shughuli hiyo iliweza kufanywa kwa usawa huku wakipokea malalamishi ambayo wameahidi[Read More…]

Read More

Hisia mseto zazidi kuibuliwa kuhusiana na kauli ya Waziri wa Elimu Prof George Magoha kuwa ni lazima wazazi walipe karo ya shule ya muhula wa 3 la sivyo watoto warejeshwe manyumbani.

By Samson Guyo, Hisia mseto zinazidi kuibuliwa kuhusiana na kauli ya Waziri wa Elimu Prof George Magoha   kuwa ni lazima wazazi walipe karo ya shule ya muhula wa 3 la sivyo watoto warejeshwe manyumbani. Baadhi ya wazazi waliozungumza na idhaa hii  mjini  Marsabit wametaja kuwa serekali haifai kulazimisha wazazi kulipa[Read More…]

Read More

Serekali yatenga Shillingi billioni 2.227 za awamu ya kwanza ya ujenzi wa Barabara kuu ya Marsabit-Shegel

By Samson Guyo & Grace Gumato Serekali imetenga Shillingi billioni 2.227 za awamu ya kwanza ili kujenga Barabara kuu ya Marsabit-Shegel ikiwa ni mpango wa kutengeza barabara kuu kutoka Marsabit kuelekea Northhorr. Akizungumza na shajara ya radio jangwani mhandisi mkuu wa mradi huo Joel wairua ameelezea kuwa awamu hiyo ya kwanza[Read More…]

Read More

Shirika la Haki Afrika latishia kuwashtaki maafisa wa polisi wanaowaachilia huru washukiwa wa dhulma za kijinisia.

By  Waihenya Isaac, Shirika la kutetea haki za binadamu la Haki Afrika limetishia kuwashtaki maafisa wa polisi wanaowaachilia huru washukiwa wa dhulma za kijinisia. Afisa wa shirika hilo Abdulrahman Mwangoka amewataka wakuu wa idara ya polisi kufuatilia suala hilo ili maafisa hao wakabiliwe kisheria. Mwangoka ameshtumu vikali hulka ya maafisa wa polisi[Read More…]

Read More

Mswaada wa mifungo unaolenga kudhibiti ufugaji wa nyuki hautaidhinishwa. – Asema Waziri Chulungui.

By Waihenya Isaac Waziri wa leba Simon Chilugui amekashifu mswaada wa mifungo unaolenga kudhibiti ufugaji wa nyuki akisema kwamba utawakandamiza wanaofanya biashara hiyo. Waziri Chulugui amesema kuwa ipo wakaazi wanaotegemea nyuki kwa mapato yao na kuahidi kuwa mswaada huo hautaidhinishwa. Mwaada huo unapendekeza marufuku ya kufuga nyuki Katika ardhi ya[Read More…]

Read More

Wanawake watekelezwa Marsabit na hata kufanyiwa uamuzi muhimu wakati wa majanga

Na Waihenya Isaac, Jamii nyingi katika kaunti ya Marsabit zimewatelekeza wanawake huku wengi wao wakiumia kipindi kunapotokea majanga kwa kukosa ufahamu. Haya yamebainishwa wakati wa hafla ya kuwahamasisha wanawake kuhusu namna ya kujimudu wakati wa majanga. Afisa anayesimamia shughuli hiyo Sahara Ahmed amesema kuwa ipo hoja ya wanawake kupewa elimu[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter