Author: Machuki

Mohamed Ahmed Maalim replaces George Natembeya in Rift Valley as Evans Achoki makes a comeback to Easter region as the Regional boss

By Machuki Dennson The former Marsabit County Commissioner Evans Achoki has been promoted to be the Regional Commissioner for Eastern. The current Eastern Regional Commissioner Isaiah Aregai Nakoru has been transferred to Western region. The Rift Valley where George Natembeya was serving until his resignation has been given to Mohamed[Read More…]

Read More

Samburu/Maasai Radio Presenter Required

Samburu/Maasai Radio Presenter Required Radio Jangwani 106.3fm is owned by Catholic Diocese of Marsabit registered as Diocese of Marsabit registered trustees, which transforms lives through radio programs by evangelizing, informing, educating and entertaining since 2016. We are looking for a qualified journalist to help fill one vacant position of a Samburu[Read More…]

Read More

Aden Duale si msemaji wa wafugaji asema Mbunge Alois Lentoimaga wa Samburu Kaskazini

Na Silvio Nangori Aliyekuwa kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale ameonywa dhidi ya kuzungumza kwa niaba ya wafugaji humu nchini. Akizungumza na wanahabari Mbunge wa Samburu Kaskazini Alois Lentoimaga na ambaye ni wenyekiti ya jamii ya wafugaji amesema kwamba Duale amekosea heshima jamii za wafugaji kwa kuwajumlisha katika mazungumzo yake.[Read More…]

Read More

Wanyamapori waathirika na makali ya kiangazi Kaskazini na Mashariki mwa nchi

Na Silvio Nangori Wanyamapori wameripotiwa kuathirika Zaidi kufuatia Kiangazi kinachoendelea kushuhudiwa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi na kulemaza shughuli ya Shirika la kulinda wanyamapori. Ukosefu wa mvua katika maeneo mengi kama vile kaunti ya Marsabit, Isiolo Wajir na Garissa, kumeripotiwa kuaga dunia kwa wanyama pori.   Hali hiyo inadaiwa[Read More…]

Read More

Mwalimu wa chuo cha kati akamatwa baada ya kukosa kuwasajili wanafunzi kwa mitihani ya kitaifa Isiolo

Na Emmanuel Amalo Mwalimu mkuu wa chuo cha kati cha mafunzo ya ualimu Maria consolata katika jimbo Katoliki la isiolo Lmoti Emmanuel Ekisa amekamatwa kwa kukosa kulipia wanafunzi 30 usajili wa mitihani ya ECDE ambao ingeanza siku ya jumanne. Inaaminika kuwa Mwalimu Mkuu huyo amepokea pesa shilingi 300,000 katika usajili wa wanafunzi[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter