SERIKALI YAONYA WAZEE WANAOENDELEZA NDOA ZA MAPEMA KATIKA ENEO LA LOIYANGALANI
October 22, 2024
Na Samuel Kosgei, Mwakilishi wadi wa Kargi/SouthHorr Asunta Galgidele ameshutumu vikali ofisi ya gavana wa Marsabit kwa madai ya kukosa kuwalipa wanakandarasi ambao ndio wanaotegemewa kumalizia miradi ya maendeleo katika maeneo wadi kote jimboni. Akizungumza na Radio jangwani Jumatano kwenye kitengo cha Taswira ya Mwanasiasa ambayo hukujia kila siku[Read More…]
Matayarisho Ya Kumpumzisha Aliyekuwa Askofu Wa Jimbo Katoliki La Marsabit Askofu Ambrose Ravasi Yanaendelea. Kwa Mujibu Wa Vika Jenerali Wa Jimbo Katoliki La Marsabit Ambaye Pia Na Mkugenzi Mkuu Wa Radio Jangwani Padre Ibrahim Racho Ni Kuwa Ibada Ya Kwanza Ya Wafu Itandaliwa Jumatano Tarehe 4 Mwezi Huu[Read More…]
Na Isaac Waihenya Naibu wa rais Wiliam Ruto ameunga mkono kauli ya jaji mkuu david maraga ya kumtaka rais Uhuru Kenyatta kuvunja bunge lakitaifa kwa kukosa kupitisha mswada unaohitajika kutekeleza sheria ya uwakilishi sawa wa jinsia. Akizungumza na viongozi wa kidini kutoka kaunti ya meru katika makao yake ya karen[Read More…]
Na Adho Isacko na Mark Dida Viongozi katika kaunti ya Marsabit wamejitokeza kuwahimiza wazazi kuhakikisha kuwa wanafunzi wao wanarudi shuleni wakati shule zitakapofunguliwa. Wakiongozwa na naibu kamishna wa marsabit ya kati Patrick Murira, wamesema kuwa jamii ya wafugaji wanajulikana sana kwa kuwaoza watoto wao mapema na hivyo wahakikishe kuwa watoto[Read More…]
Na Adho Isacko Wakaazi wa eneo la Karare wamekosa kuafikiana na shirika la kutathmini athari za ujenzi kwa mazingira, maafisa wa shirika la wanyamapori KWS pamoja na jeshi la KDF kwenye mkutano uliofanywa hiyo jana ili kutathmini athari za ujenzi wa kambi ya jeshi katika eneo hilo. Wakaazi hao wanadai[Read More…]
Na Adho Isacko Kundi la majambazi wasiojulikana siku ya Jumatano walivamia mifugo ya wakaazi wa eneo la hulahula katika msitu wa Marsabit saa sita mchana na kujeruhi ngombe 3. Kulingana na aliyeshuhudia tukio hilo Bileua Keina majambazi hao ambao walikua na bunduki walifika katika eneo la wortikele ambapo mifugo hunywa[Read More…]
Wizara Ya Afya Imeweka Wazi Kuwa Watu 317 Hapa Nchini Hujitoa Uhai Kila Mwaka, Huku Taifa La Kenya Likishikilia Nafasi Ya 114 Ulimwenguni Kati Ya Mataifa 175 Kwa Visa Vya Kujitoa Uhai Kutokana Na Sababu Mbalimbali. Akizunguzumza Akiwa Katika Hospitali Ya Wagonjwa Wa Akili Ya Mathare Jijini Nairobi, Katibu Wa[Read More…]
Na Adho Isacko Na Adho Isacko Wananchi wamehimizwa kuendelea kufuatia maagizo ya serikali kwani ugonjwa wa covid-19 una hatua tofauti na unaweza anza tena. Akizungumza Jumanne kwenye jumba la afya katibu wa utawala katika wizara ya afya Dkt Rashid Aman amesema kuwa hata kama idadi inaonekana kupungua, kuna kaunti kama[Read More…]
Na Waihenya Isaac MAHAKANI BY WAIHENYA 4PM………………. Mshukiwa kwenye mauaji ya Kevin Omwenga,Chris Obure amepata pigo baada ya mahakama kutupilia mbali ombi lake la kutaka kufanywa kuwa shahidi badala ya kuwa mshukiwa kwenye mauji hayo. Akitoa uamuzi kwenye kesi hiyo Jaji Mumbi Ngugi ameamuru kuwa ombi la mshukiwa huyo halina[Read More…]
Idara ya usalama kaunti ya Marsabit imepigwa jeki katika suala la kupokea elimu na hamasisho kuhusiana na kero la ugonjwa wa covid 19 nchini. Akizungumza na wanahabari mwishoni mwa juma mjini Marsabit baada ya kufanya kikao na wawakilishi wa Muungano wa Chama Cha Wamiliki Bunduki nchini (NGOA) kamanda wa polisi[Read More…]