WAUGUZI KATIKA KAUNTI YA MARSABIT WAMEAPA KUENDELEA NA MGOMO WAO HADI PALE SERIKALI YA KAUNTI YA MARSABIT ITAKAPOSHUGHULIKIA MATAKWA YAO YOTE.
September 19, 2024
By Waihenya Isaac Waziri wa leba Simon Chilugui amekashifu mswaada wa mifungo unaolenga kudhibiti ufugaji wa nyuki akisema kwamba utawakandamiza wanaofanya biashara hiyo. Waziri Chulugui amesema kuwa ipo wakaazi wanaotegemea nyuki kwa mapato yao na kuahidi kuwa mswaada huo hautaidhinishwa. Mwaada huo unapendekeza marufuku ya kufuga nyuki Katika ardhi ya[Read More…]
By Waihenya Isaac, Wakaazi wa eneo la Shabaa kaunti ndogo ya Samburu ya kati wamepata afueni baada ya bomu lililopatikana katika eneo la sowit siku ya ijumaa kuteguliwa. Bomu hilo lilipatikana likiwa limefukiwa kwenye mchanga na watoto waliokuwa wakichunga mbuzi karibu na nyumba yao. Maafisa wa polisi wakiongozwa na naibu[Read More…]
Silvio Nangori Mamlaka ya kuthibiti Mashindano katika Biashara nchini imwaagiza waokaji wa mikate kukoma kuwaibia wakenya. Kwenye taarifa yake hii leo Mamlaka hiyo imewaagiza wote wanaotengeneza mikate kuweka bayana taarifa yote muhimu katika uuzaji wa mikate yao. Mamlaka hiyo imewataka waokaji wa mikate kuweka wazi tarehe ya kutengenezwa kwa mikate[Read More…]
By Statehouse President Uhuru Kenyatta today presided over the operationalization of the first berth of the new Lamu Port, marking a major milestone for the regional Shs 2.5 trillion Lamu Port-South Sudan-Ethiopia Transport Corridor project (LAPSSET) launched in 2012. When complete, the Shs 310 billion port will have 32 berths,[Read More…]
Na Adano Sharawe, Kundi moja la mashirika ya kijamii limetoa wito kwa mkaguzi mkuu wa hesabu za matumizi ya pesa za serikali akague mara moja pesa za umma zilizotumiwa kufadhili shughuli za mchakato wa BBI na kuwachukulia hatua walioidhinisha matumizi ya pesa hizo. Kundi hilo linadai kwamba kwa vile mahakama[Read More…]
Na Adano Sharawe, Gavana wa kaunti ya Kirinyaga, Anne Waiguru amekosoa vikali hatua ya kumtawaza spika wa bunge la Kitaifa Justin Muturi kuwa msemaji wa jamii za eneo la Mlima Kenya. Kupitia ujumbe aliochapisha kwenye ukurasa wake wa Facebook na Twitter, gavana huyo amesema kuwa hafla kama ile haina maana[Read More…]
Na Waihenya Isaac Makundi mbalimbali yanazidi kujitokeza kuwatetea majaji waliotoa uamuzi unasimamisha mchakato wa kubadilisha katiba kupitia BBI. Muungano wa wanasheria wa kimataifa ICJ tawi la Kenya umekuwa wa hivi punde kuwasuta wanasiasa kwa kuendelea kuwashambulia majaji waliotoa uamuzi huo. Kupitia kwa mwenyekiti wake Kelvin Mogeni, ICJ imesema inasimama na[Read More…]
Na Waihenya Isaac Mkugenzi katika idara ya hali ya anga kaunti ya Marsabit Roba Ali amesema kilimo kwenye kaunti ya Marsabit kimeadhirika kwa kiwango kikubwa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi. Kwa mujibu wa Roba ni kwamba hali hiyo imesababisha ukosefu wa mvua na kuchangia kwa wakulima kupata mazao duni.[Read More…]
By Radio Jangwani Kenyan integrated agro-business firm Kakuzi PLC has celebrated the operationalisation of the new Port of Lamu with an inaugural 80-ton cargo of Avocados destined for France. Fresh Avocados grown at the Kakuzi PLC Makuyu orchards are part of the cargo loaded on cargo Ship MV Seago Bremerhaven[Read More…]
Na Adano Sharawe, Mbunge wa Embakasi ya mashariki Babu Owino ametangaza kuwa ni lazima katiba itabadilishwa. Kupitia kurasa zake kwenye mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter, mbunge huyo anayekumbwa na sarakasi si haba siasani amesema hawatorudi nyuma kwenye nia yao ya kubadilisha katiba kupitia mswada wa BBI. Babu ametangaza[Read More…]