Featured Stories / News

AFISA WA POLISI AJIUA, DUKANA

Na Adano Sharawe. Afisa mmoja wa polisi katika kambi ya Buluk, kaunti ndogo ya North Horr aliyeripotiwa kupotea siku 3 zilizopita amepatikana akiwa ameaga dunia. Konstabo Abdiaziz Mohammed Aden aliripotiwa kutoweka siku ya Jumatatu wiki hii. Mwili wake uliokuwa umeanza kuoza ulipatikana na wafugaji eneo la Araftis, lokesesheni ya Sabare[Read More…]

Subscribe to eNewsletter