Featured Stories / News

Akina mama kaunti ya Samburu watakiwa kujihusisha na kilimo cha ufugaji wa nyuki kama njia moja ya kujipatia mapato

Na Samuel Kosegi Akina mama kutoka jamii za wafugaji kaunti ya Samburu wametakiwa kujihusisha na kilimo cha ufugaji wa nyuki ili kufanikisha biashara ya asali kama njia moja ya kujipatia mapato. Haya yalijiri katika maonyesho ya mashirika yasiyokuwa ya serikali ya kuwahamasisha wafugaji kujihusisha na biashara mbali mbali. Wadau wa[Read More…]

Subscribe to eNewsletter