Featured Stories / News

MWAKILISHI WA WANAWAKE KAUNTI YA MARSABIT NAOMI JILLO WAKO AENDELEA KUTETEA MSWADA KIFEDHA WA 2024/25

NA SAMUEL KOSGEI MWAKILISHI wa wanawake kaunti ya Marsabit Naomi Jillo Wako ameendelea kutetea mswada kifedha wa 2024/25 unaoenda kujadiliwa na bunge wiki ijayo akisema kuwa mswada huo utazidisha maendeleo kaunti ya Marsabit na taifa lote kwani serikali itakusanya hela za kutosha. Wakti uo huo Naomi anasema kuwa kupitia kupitishwa[Read More…]

MBUNGE LEKUTON APENDEKEZA VIUNGO MUHIMU VYA MWILI VISIZIKWE NA MAREHEMU BALI ZIPEWE WAGONJWA WATAKAOHITAJI.

Na Samuel Kosgei Mbunge wa Laisamis Joseph Lekuton amependekeza bunge kubuni kutengeneza sheria itakayoruhusu wakenya wanaoaga dunia kupeana viungo vya mwili kwa hiari akisema hatua hiyo itasaidia wakenya wanaohitaji viungo hivyo. Lekuton akizungumza kwenye hafla ya kutoa damu katika hospitali kuu ya Marsabit Ijumaa amesema – kama vile wakenya husaidia[Read More…]

Jeannie Mai And Jeezy Finalise Their Divorce.

Jeannie Mai and Jeezy have finalized their divorce. The 45-year-old TV star and the 46-year-old rapper have settled on the terms of their divorce, following their bitter split in 2023. The two share a two-year-old daughter called Monaco together and have filed to keep the details of their agreement under[Read More…]

Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametoa maoni mbalimbali kuhusiana na mswada wa kifedha na bajeti ya mwaka wa 2024/2025  ambayo makadirio yake yamewasilishwa hii leo na waziri wa fedha Njuguna Ndugu

NA LELO Baadhi ya wananchi waliozungumza na idhaa hii wakiongozwa na Steven Roba wameonekana kuunga mkono mapendekezo ya bajeti hiyo wakisema kuwa yametilia  maanani suala la mfumuko wa bei huku wakitarajia kuimarika kwa uchumi kutokana na hayo. Kwa upande mwingine, baadhi ya wakaazi wamelalamika wakidai kuwa serikali itawadhulumu kupitia mswada[Read More…]

AFISA MKUU ANAYESIMAMIA MASUALA YA MISITU KATIKA KAUNTI YA MARSABIT KADIRO OCHE AMETOA ONYO KWA WALE WANAOCHUNGA MIFUGO YAO NDANI YA MISITU YA MARSABIT.

NA TALASO HUQA Akizungumza nasi afisini mwake Kadiro amesema kuwa ulishaji wa mifugo katika msitu huo mara nyingi huchangia uhalifu na wizi wa mifugo akisema kuwa wafugaji wanaruhusiwa kupeleka mifugo kunywa maji pekee  na pia kulisha mifugo hao wakati ambapo kuna kiangazi. Aidha Kadiro amewahimiza wakaazi wa Marsabit kuzidi kupanda[Read More…]

Rihanna Launches Fenty Hair.

Rihanna has officially ventured into the hair industry with her new line Fenty Hair that focuses oh hair products. The 36-year-old musician put her music career on hold in recent years, as she’s focused on her fashion and beauty brands, and Rihanna is determined to ensure no customers are left[Read More…]

WANAOTEGEMEA DHAHABU WAOMBWA KUVUMILIA HADI MARUFUKU ILIYOWEKWA NA SERIKALI ITAKAPOKAMILIKA.

Na Samuel Kosgei NAIBU kamishna wa kaunti ndogo ya Moyale Benedict Munywoki amekariri umuhimu wananchi wa eneo la Dabel kunakochimbwa dhahabu kuzidi kuvumilia hadi marufuku iliyowekwa na serikali itakapokamilika. Munywoki akizungumza na kituo hiki kwa njia ya simu amesema kuwa iwapo wananchi wataepuka kufika eneo la mgodi wa dhahabu basi[Read More…]

Subscribe to eNewsletter