Wakaazi wa Marsabit waunga mkono matamshi ya Gachagua, wataka uwajibikaji kutoka kwa viongozi
NA Joseph Muchai Matamshi ya aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua aliyetuhumu viongozi wa maeneo ya…
Marsabit yashuhudia idadi ndogo ya wanafunzi wanaojiunga na Gredi ya 10 siku ya kwanza.
NA Nyabande Orwa Wanafunzi wa gredi ya kumi wameanza kujiunga na shule mbalimbali walizopangiwa katika…
Wakaazi wa kaunti ya Marsabit waombwa kujitolea katika vita dhidi ya dawa za kulevya.
NA Joseph Muchai Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametakiwa kujitolea kikamilifu katika kupambana na matumizi…
Wazazi watafuta uhamisho kwa wanafunzi wa gredi ya 10 bila kuzingatia njia tatu za masomo, MarsabitÂ
NA Caroline Waforo Wadau wa elimu katika kaunti ya Marsabit wameeleza wasiwasi mkubwa kuwa wazazi…
Wakaazi wa Toricha Maikona walilia uhaba wa maji kutokana na visima kukauka. Waomba msaada kukabili janga hilo.
NA Samuel Kosgei Wakazi wa maeneo ya Toricha na Qatamur katika Kaunti Ndogo ya Maikona, Kaunti ya Marsabit,…
Wavuvi Loiyangalani watakiwa kuwa makini dhidi ya mamba ziwani Turkana
NA JB Nateleng Wito umetolewa kwa wavuvi wanaoendesha shughuli zao katika Ziwa Turkana, eneo la…
Maafisa wa usalama watakiwa kuheshimu haki za raia huku operesheni ya kurejesha mifugo 3908 walioibwa ikiendelea, Loiyangalani.
NA JB Nateleng Mwakilishi wadi wa Loiyangalani Daniel Emojo, amewataka maafisa wa usalama kuheshimu na…
Wafugaji Marsabit walalamikia bei ya chini ya mifugo huku shule zikifunguliwa wiki ya kwanza.
NA Samuel Kosgei Wafugaji jimboni Marsabit wametakiwa kuanza kupunguza mifugo yao kwa kuuza ili wasije…
Wazazi wa shule ya msingi ya Comboni Marsabit waandamana kutokana uongozi wa shule hiyo kubadilishwa.
NA JOHN BOSCO NATELENG Shughuli ya ufunguzi wa shule kwa muhula wa kwanza mwaka huu…
Mwanaume mmoja afariki dunia kufuatia ajali ya barabarani, Kargi
NA CAROL WAFORO Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 63 amefariki dunia kufuatia ajali ya…
Jamaa afikishwa mahakamani Marsabit kwa tuhuma za kutishia kumwangamiza mwenzake.
NA NYABANDE ORWA Jamaa mmoja amefikishwa katika Mahakama ya Marsabit kwa tuhuma za kumtishia mwenzake…
Wakazi wa kaunti ya Marsabit watoa hisia mseto kuhusu ombi la serikali kutaka msaada wa kutatua janga la njaa.
Wakaazi wa Kaunti ya Marsabit wametoa maoni yao kuhusu hatua ya serikali kuomba msaada kutoka…