Kenya Yaungana Na Ulimwengu Kusherehekea Siku Ya Wanyamapori Duniani
March 3, 2021
County updates, notifications, news from the Marsabit County
By Mark Dida, Wafanyabiashara mjini Marsait, wamelalamikia kile wanachosema ni hatua ya maafisa wa idara ya kuzoa taka katika kaunti ya Marsabit, kujikokota kuondoa taka mjini humu. Wamesema kuwa taka hizo ambazo zimerundikana katikati ya mji, zinatoa uvundo kiasi cha kuyumbisha biashara zao. Wanataka taka hizo kuondolewa haraka iwezekanavyo, wakisema[Read More…]
Picha; Hisani By Mark Dida. Huku Mgomo Wa Wauguzi Na Matabibu Ukiendelea Kote Nchini, Wauguzi Na Matabibu Katika Hospitali Za Umma Kaunti Ya Marsabit Wametangaza Kuwa Wataendelea Na Kazi. Katika Hospitali Ya Rufaa Ya Marsabit, Wauguzi Na Matabibu Wanaendelea Kuwahudumia Wagonjwa, Huku Afisa Mkuu Mtendaji Wa Hospitali Ya Marsabit Liban[Read More…]
Picha; By Jillo Dida Jillo By Jillo Dida Jillo Vijana Kutoka Kaunti Za Marsabit Na Isiolo Waliokutana Jijini Nairobi Wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta Kuingilia Kati Na Kutatua Mizozo Ya Mara Kwa Mara Inavyoshuhidiwa Katika Maeneo Ya Kaskazini Mwa Nchi. Katika Taarifa Yao Kwa Kiongozi Wa Taiafa, Vijana Hao Wakiongozwa Na[Read More…]
Picha; Hisani Na Adano Sharawe Jeshi La Nzige Limeonekana Lokesheni Ya Walda Eneo Bunge La Moyale Na Kusababisha Hofu Kwa Wenyeji. Kwa Mujibu Wa Chifu Wa Lokesheni Ya Walda Hassan Jattani Kotote Amesema Nzige Walionekana Eneo Hilo Jumatano Mchana Kabla Kuelekea Nchini Ethiopia Jioni. Jattani Amesema Kundi La Nzige Hao[Read More…]
Picha; Mark Dida. By Mark Dida, Maafisa Wa shirika la Wanyama pori KWS Tawi La Marsabit wamewakamata wawindaji wawili haramu wakiwa na kilo 51.5 za Pembe Za Ndovu katika eneo la Lag Malgis eneo bunge la Laisamis. Wawili hao Wametiwa Mbaroni hii leo baada ya Maafisa Wa KWS kufanya upepelezi[Read More…]
Eng. Mohamed Tache Diba Picha:Hisani By Waihenya Isaac, Afisa Mkuu Wa Mipango Ya Kiuchumi Katika Kaunti Ya Marsabit Eng. Mohamed Tache Diba Ameweka Wazi Kuwa Anaugua Homa Hatari Ya Korona, Ingawa Hana Dalili Zozote. Eng. Tache Ni Mmoja Kati Ya Watu 16 Kutoka Hapa Jimboni Waliokutwa Na Virusi Vya Korona[Read More…]
By Machuki Dennson The Marsabit County Secretary Engineer Joseph Guyo Wako may have succumbed to coronavirus this morning. According to the statement of the County Governor Mohamud Ali on his Facebook page on Tuesday evening, the County Secretary “exhibited exhibited classic symptoms of the Novel Coronavirus.” The governor went ahead[Read More…]
By Jillo Dida Kaunti ya marsabit imefadhiliwa shilingi millioni 91 na serikali kuu kusaidia wasio jiweza katika jamii wakti uchumi ya kenya ikiendea kusambaratishwa na mambukizi ya virusi vya corona. Aidha kwa mujibu wa kamishna wa jimbo hili Evans Achoki fedha hizo zitatumika kusaidia wazee wa miaka sabini na zaid[Read More…]
Paul Samasumo – Vatican City Fr. Racho Ibrahim is the Vicar General of Kenya’s Diocese of Marsabit. He speaks about life in Marsabit and of climate change. Marsabit is a Kenyan outpost located in the vast desert of northern Kenya. The Marsabit county encompasses an isolated extinct volcano, Mount Marsabit.[Read More…]