Terms Announces Her Highly Anticipated Debut Album ‘Born In The World’.
May 2, 2024
County updates, notifications, news from the Marsabit County
Na Samson Guyo, Uwanja wa spoti unaoendelea kujengwa katika kaunti ya Marsabit unaendelea vizuri licha ya kazi hio kutofanyika kwa kasi. Akizungumza na radio jangwani wakati kamati ya uratibu wa utekelezaji wa maendeleo ya kaunti (CDICC) ilipozuru uwanja huo jana, meneja wa mradi huo Edwin Ogach alisema kuwa kufikia sasa[Read More…]
Na Isaac Waihenya Mtihani wa kitaifa wa darasa la nane KCPE umeanza vyema katika kaunti ya Marsabit huku wanafunzi 5,994 wakikalia mtihani huo. Kwa mujibu wa mkurugenzi mkuu wa elimu kaunti ya Marsabit Titus Mbatha ni kuwa mitihani hiyo iling’oa nanga mida ya saa mbili kamili. Akizungumza na waandishi[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Zaidi ya aslimia 90 ya wakaazi wa kaunti ya Marsabit wameadhirika na matatizo ya afya ya akili. Hayo ni kwa mujibu wa mwanasaikologia katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Victor Karani. Akizungumza na Idha hii kwa njia ya kipekee, Karani ametaja kuwa maswala ya Ukosefu wa Usalama,[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Mtu mmoja alijeruhiwa wakti mzozo kati ya jamii mbili ulipozuka hii leo asubuhi katika eneo la Arapal wadi ya Loiyangalani kaunti ya Marsabit. Akidhibitisha kisa hicho kamishina wa kaunti ya Marsabit Paul Rotich ametaja kuwa mzozo ulizuka baina ya jamii mbili kuhusiana na eneo la malisho japo[Read More…]
Na Silvio Nangori, Kaunti ya MARSABIT imetajwa kuwa miongoni mwa kaunti ambazo zinashuhudia visa vingi vya mimba za mapema. Kaunti zingine katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa Kenya -Embu, Kitui na Machakos zimetajwa pia kuathirika. Kaunti ya Nairobi imetajwa kuongoza nchini kwa visa vingi Zaidi mwaka huu. Haya ni kwa[Read More…]
Na Emmanuel Amalo, Mwenyekiti wa chama cha wauza nyama-Butcher Sacco eneo hili, Diba Galgallo amesema kuwa wanapitia changamoto si haba kutokana na machafuko ya kila mara katika eneo hili. Galgallo amedokeza kuwa biashara hiyo huathirika vibaya kila mara kunapotokea mapigano ya kikabila ikizingatiwa kichinjio kikuu kiko nje kidogo ya mji[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Idara ya polisi nchini imetoa onyo kwa viongozi wa kisiasa wanaowatumia vibaya vijana kuleta virugu miongoni mwa jamii wakati huu tunapokaribia uchaguzi mkuu mwaka ujao. Akizungumza na waandishi wa habari inspekta jenerali wa polisi Hillary Mutyambai amesema kuwa idara ya polisi iko macho na itatumia mbinu zozote[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Marsabit wanafaa kuwajibikia swala la usalama kikamilifu na kuhubiri Amani katika mikutano yao. Hayo ni kwa mujibu wa muaniaji wa kiti cha ubunge katika eneobunge la Saku mwaka wa 2022 Abduba Barille. Akizungumza na waandishi wa habari,Barille ametaja kuwa wanasiasa katika[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Viongozi ambao hawashabikii swala la Amani katika kaunti ya Marsabit hawafai kuchaguliwa kwa vyovyote vile. Hayo ni kwa mujibu wa Askofu wa kanisa la Kiangilikana katika kaunti ya Marsabit Daniel Qampicha. Akizungumzasiku ya jumapili katika kaunti ya Marsabit wakti wa maadhimisho ya miaka 10 tangu kuasisiwa kwa[Read More…]
Na Emmanuel Amalo, Watoto watatu wamefikishwa katika hospitali ya rufaa ya Marsabit baada ya kupigwa risasi usiku wa kuamkia leo baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana. Akidhibitisha kisa hicho afisa mkuu wa hospitali ya rufaa ya Marsabit Liban Wako amesema kwamba kwa sasa watatu hao wanauguza majeraha ya risasi ila[Read More…]