Celine Dion opens up about life with stiff person syndrome.
April 24, 2024
County updates, notifications, news from the Marsabit County
By Waihenya Isaac, Ni wajibu wa kila mmoja kuhakikisha kuwa watoto wanapata haki zao na pia wanalindwa kikamilifu. Haya ni Kwa mujibu wa afisa wa watoto katika kaunti Marsabit Kenneth Mutuma. Mutuma amesema kuwa sio jukumu la maafisa wa watoto kuwalinda watoto bali ni jukumu la jamii kuhakikisha kuwa kila[Read More…]
By Grace Gumato, Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 30 amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani kwa mashtaka ya wizi wa kimabavu na kumiliki silaha kinyume cha sheria. Mshukiwa Ltaramatwa Lemangas alikamatwa tarehe 18 september, 2020 maeneo ya Namarei-Ngurunit kaunti ndogo ya Laisamis, ikidaiwa kuwa alisimamisha gari la kibinafsi na[Read More…]
By Mark Dida, Ni watu 129 pekee ambao wamesajiliwa kama wapiga kura katika kaunti ya Marsabit katika zoezi jipya linaloendelea kwa sasa la kuwasajili wapiga kura. Kwa mujibu wa meneja wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC tawi la Marsabit Festus Murithi, nikuwa 129 hao wamesajiliwa tangu zoezi[Read More…]
By Waihenya Isaac, Mtoto aliyeokolewa na maafisa wa polisi katika shimo la choo,jumamosi wiki jana yuko salama na anaendelea vyema. Kwa mujibu wa afisa mkuu katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Liban Wako ni kwamba mtoto huyo wa wiki moja aliokolewa na maafisa wa polisi Katika choo kimoja hapa[Read More…]
By Isaac Waihenya, Mkugenzi katika idara ya kilimo katika kaunti ya Marsabit Julius Gitu amesema kilimo kwenye kaunti ya Marsabit kimeadhirika kwa kiwango kikubwa kutokana na mabadiliko ya tabia nchi. Kwa mujibu wa Gitu ni kwamba hali hiyo imesababisha ukosefu wa mvua na kuchangia kwa wakulima kupata mazao duni. Mabadiliko[Read More…]
By Samson Guyo, Shuguli ya kuwagawia wafanyibiashara nafasi haswa walio adhirika baada ya ubomozi uliofanyika kabla ya ujenzi wa soko jipya la Marsabit imerejelewa hii leo. Kulingana na mwenyekiti wa manispaa ya mji wa Marsabit Roba Sereka, ni kuwa shughuli hiyo iliweza kufanywa kwa usawa huku wakipokea malalamishi ambayo wameahidi[Read More…]
By Samson Guyo, Hisia mseto zinazidi kuibuliwa kuhusiana na kauli ya Waziri wa Elimu Prof George Magoha kuwa ni lazima wazazi walipe karo ya shule ya muhula wa 3 la sivyo watoto warejeshwe manyumbani. Baadhi ya wazazi waliozungumza na idhaa hii mjini Marsabit wametaja kuwa serekali haifai kulazimisha wazazi kulipa[Read More…]
By Samson Guyo & Grace Gumato Serekali imetenga Shillingi billioni 2.227 za awamu ya kwanza ili kujenga Barabara kuu ya Marsabit-Shegel ikiwa ni mpango wa kutengeza barabara kuu kutoka Marsabit kuelekea Northhorr. Akizungumza na shajara ya radio jangwani mhandisi mkuu wa mradi huo Joel wairua ameelezea kuwa awamu hiyo ya kwanza[Read More…]
By Samson Guyo, Huku bajeti ya kitaifa ikitarajiwa kusomwa alhamisi tarehe 10 mwezi huu,baadhi ya wananchi katika kaunti ya Marsabit wameelezea kusikitishwa na baadhi ya maswala yaliyopo kwenye bajeti. Wakizungumza na idhaa hii wakaazi hao wamelalama kuwa mwaka nenda mwaka rudi matatizo yamekua yale yale kwa wananchi wa kawaida. Aidha[Read More…]
Na Machuki Dennson Kanisa Katoliki limetaka mchakato wa kubadilisha katiba kupitia BBI kuahirishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2022. Katika ujumbe wao hii leo maaskofu wamewataka viongozi kuheshimu katiba na taasisi za kisheria. Wamependekeza kuwa mabadiliko muhim,u na ya dharura yafanyike kupitioa miswada ya[Read More…]