Taylor Swift Unveils New Secret Double Album.
April 19, 2024
County updates, notifications, news from the Marsabit County
Na Waihenya Isaac, Maseneta wamemtaka waziri wa elimu George Magoha pamoja na wakuu wa chama cha shule za upili KESHA kufika mbele yake kutoa maelezo kuhusiana na kukithiri kwa visa vya uteketezaji wa majengo ya shule. Maseneta hao aidha wamelalamikia utovu wa nidhamu ya wanafunzi miongoni mwa wanafunzi vilevile kipindi[Read More…]
Na Waihenya Isaac Shule ya upili ya wasichana ya Moi katika kaunti ya Marsabit imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya bweni moja shuleni humo kuteketea usiku wa kuamkia leo. Kwa mujibu wa naibu mwalimu mkuu wa shule hiyo Bwana Festus Kiema ni kuwa uamuzi huo umeafikiwa baada ya bodi ya[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Mwakilishi wadi wa Korr/Ngurnit Daud Tomasot ametaja kuwa hali ya ukosefu wa maji katika eneo la Korr kuwa janga kuu na kero sana katika hilo iwapo mvua haitanyeshi hivi karibuni. Tomasot anasema kuwa licha ya visima vingi kuchimbwa maji mengi yanatopatikana ni ya chumvi hivyo kuwa[Read More…]
Na Adano Sharawe, Mbunge wa North Horr Chachu Ganya ametoa mwito kwa serikali kuu kuzidisha mpango wa kusambaza chakula cha msaada kwa wenyeji wa maeneo yanayokumbwa na ukame. Akiunga mkono muswada kuhusu ukame bungeni, Ganya ametaja kuwa idadi ya wananchi wanaozidi kuadhirika inazidi kuongezeka kila kuchao na kwamba serikali haina[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Mwakilishi wadi wa Kargi/SouthHorr Asunta Galgidele ameshutumu vikali ofisi ya gavana wa Marsabit kwa madai ya kukosa kuwalipa wanakandarasi ambao ndio wanaotegemewa kumalizia miradi ya maendeleo katika maeneo wadi kote jimboni. Akizungumza na Radio jangwani Jumatano kwenye kitengo cha Taswira ya Mwanasiasa ambayo hukujia kila siku[Read More…]
By Waihenya & Qabale, Pana haki ya kuwa na usawa wakti wa ugavi wa rasilimali za umma kwa watu katika kaunti ya Marsabit. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa kamati ya bajeti katika kaunti ya Marsabit Daud Tomasop ambaye pia ni mwakilishi wadi ya Korr/Gurnet ni kuwa serekali ya kaunti haijakuwa[Read More…]
By Waihenya Isaac, Wakaazi mjini Marsabit wameandaa maandamano ya Amani kulalamikia ukosefu wa maji kwa muda wa wiki mbili sasa. Wakaazi hao waliojawa na ghadhabu waliandamana hadi katika afisi ya idara ya maji mjini kuwasilisha malalamishi yao. Wametaja kuwa imekuwa vigumu kwao kuendelea na maisha yao ya kawaida baada ya[Read More…]
By Silvio Nagori, Baraza la madhehebu mbali mbali tawi la Marsabit limekashifu vikali mauaji yanaendelea kushuhudiwa hapa jimboni. Wakizungumza na waandishi wa habari hapa mjini Marsabit viongozi hao wamewataka wananchi kutolipiza kisasi jambo ambalo wamesema kuwa linachangia katika vurugu za mara kwa mara. Wakiongozwa na mwenyekiti wao Askofu wa jimbo[Read More…]
By Mark Dida, Idadi ya wanao ugua ugonjwa wa saratani ya mlango wa uzazi huenda ikaongezeka katika kaunti ya Marsabit kutokana na wanawake kupuuza zoezi la kupimwa mapema. Kwa mujibu wa mhudumu wa afya anayesimama kitengo cha kuchunguza saratani katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Rose Mary Boke ni kuwa[Read More…]
Picha;Radio Jangwani By Grace Gumato, Wanaume watano wamefikishwa kizimbani katika mahakama ya Marsabit kwa makosa ya wizi kinyume cha sheria kwenye kesi mbili tofauti. Ramadhan Halkano, Diba Golicha, Abdi Hirbo na Hussein Yussuf walikamatwa jana Jumanne ambapo wameshtakiwa kwa makosa ya kumuibia mfanyibiashara Isacko Orto mashine ya kusaga nyasi ya[Read More…]