JAMII YA MARSABIT IMETAKIWA KUTOWAFICHA WATOTO WANAOUGUA UGONJWA WA KUPOOZA KWA UBONGO MAARUFU CEREBRAL PALSY NA BADALA YAKE KUWAPELEKA HOSPITALI WAPATA MSAADA.
September 18, 2024
County updates, notifications, news from the Marsabit County
By Adano Sharawe, Samwel Kosgei & Adho Isacko Baadhi Ya Walimu Wa Shule Za Umma Kaunti Ya Marsabit Wameeleza Kusikitishwa Kwao Na Hali Ya Shule Wanaozoongoza Ikizingatiwa Kuwa Wanahitajika Kuzingatia Masharati Ya Wizaraya Afya Ilhali Hawajapokezwa Pesa Za Shughuli Hiyo Na Serikali Kama Walivyoahidiwa. Baadhi Ya Changamoto Wanazotaja Kuzipitia Ni[Read More…]
By Adano Sharawe Halmashauri ya kuthibiti sekta ya kawi na mafuta (EPRA) imefunga kituo cha Gumi kilicho eneo la Sololo kaunti ya Marsabit kwa kuuza mafuta yaliyochanganywa. Kituo cha Gumi ni kati ya vituo 16 vya mafuta ambavyo Epra imefunga kuuza humu nchini. Kwenye taarifa, halmashauri hiyo ilisema ilifanya ukaguzi kati[Read More…]
By Waihenya Isaac. Mbunge Wa Saku Ali Dido Amewataka Wazazi Kuhakikisha Kuwa Watoto Wanafuata Maagizo Ya Wiizara Ya Afya Wakiwa Nyumbani Na Hata Kuwaelimisha Namna Ya Kuzingia Masharti Hayo Wakiwa Baada Ya Shuleni. Akizungumza Katika Hafla Ya Kufunga Mwaka Iliyoandaliwa Hapo Jana Katika Makao Ya Gavana Wa Jimbo Hili Mohamoud[Read More…]
By Isaac Waihenya. Gavana Wa Kaunti Ya Marsabit Mahamoud Ali Amewataka Wananchi Kuzidi Kuzingatia Masharti Ya Covid Ili Kuzuia Msambao Wa Korona Katika Kaunti Hii. Akizungumza Katika Hafla Ya Kufunga Mwaka Iliyoandaliwa Katika Makao Yake Hapa Mjini Marsabit,Gavana Ali Amewataka Wananchi Wakaunti Ya Marsabit Kuhakikisha Kuwa Wanafuata Maagizo Ya Wizara[Read More…]
By Samuel Kosgei. Hofu Ilitanda Jumanne Katika Eneo La Hellu Kaunti Ndogo Ya Moyale Baada Ya Kundi La Nzige Wa Jangwani Kuonekana Wakipaa Katika Eneo Hilo. Akizungumza Na Shajara Ya Jangwani Kwa Njia Ya Simu Naibu Mkurugenzi Wa Idara Ya Kilimo Kaunti Ya Marsabit Na Pia Mkufunzi Wa Masuala Ya[Read More…]
By Adho Isacko. Wafanyikazi Katika Sekta Ya Uchukuzi Kaunti Ya Marsabit Wamelalaimikia Kile Walichokitaja Kuwa Kudorora Kwa Biashara Baada Ya Sheria Mpya Za Kuzui Kusambaa Kwa Virusi Vya Korona. Serekali Kupitia Wizara Ya Afya Iliagiza Magari Yote Ya Usafiri Kupunguza Idadi Ya Abiria Kama Njia Mojawapo Ya Kuzua Msambao Wa[Read More…]
By Mark Dida. Makundi 15 Ya Wanawake Na Vijana Kutoka Kaunti Ya Marsabit Wamenufaika Na Shilingi Milioni 1.5 Kutoka Kwa Afisi Ya Mwakilishi Wa Wanawake Wa Marsabit Safia Shehk Adan. Akiogoza Hafla Hiyo Kamishna Wa Kaunti Ya Marsabit Paul Rotich Amesema Kwa Makundi Hayo Sasa Yanaweza Kuendeleza Miradi Mbali Mbali[Read More…]
By Mark Dida, Mahakama Ya Marsabit Imeahirisha Kutajwa Kwa Kesi Ya Washukiwa Wawili Wa Uwindaji Haramu James Legalorah Na Leserian Lejir Waliopatikana Na Kilo 51.5 Za Pembe Wiki Mbili Zilizopita Katika Eneo La Lag Malgis Kaunti Ya Marsabit. Hii Ni Baada Ya Washukiwa Hao Kutakiwa Wajitenge Kwa Siku 14 Baada[Read More…]
Na Adho Isacko, Mwakilishi Wa Wadi Ya Marsabit Ya Kati Hassan Jarso Amewasihi Wafanyikazi Wa Kampuni Ya Majitaka Ya Sino-Hydro Kurudi Kazini Kufuatia Mgomo Wao Ambao Umeingia Siku Ya 5 Hii Leo. Akizungumza Nao Nje Ya Afisi Ya Kamishna Wa Kaunti Hii, Jarso Amewaambia Kuwa Wameweza Kuzungumza Na Maafisa Wakuu[Read More…]
By Mark Dida, Wafanyabiashara mjini Marsait, wamelalamikia kile wanachosema ni hatua ya maafisa wa idara ya kuzoa taka katika kaunti ya Marsabit, kujikokota kuondoa taka mjini humu. Wamesema kuwa taka hizo ambazo zimerundikana katikati ya mji, zinatoa uvundo kiasi cha kuyumbisha biashara zao. Wanataka taka hizo kuondolewa haraka iwezekanavyo, wakisema[Read More…]