Local Bulletins

regional updates and news

Pope Francis asks for prayers for Benedict XVI

  By Linda Bordoni   At the end of the General Audience Pope Francis asks for “special prayers” for Benedict XVI “who is very ill.” The Holy See press office director confirms there has been an aggravation in his conditions but says the situation is stable. Concluding the General Audience[Read More…]

Read More

Wajukumisheni watoto katika shughuli za nyumbani ili kuwaepusha kujiingiza katia uovu. – Viongozi wa kidini wawarai wazazi.

By Isaac Waihenya, Wazazi wametakiwa kuwajukumisha watoto wao katika shughuli za nyumbani ili kuwaepusha kujiingiza katia uovu haswa wakiti huu wa msimu wa likizo ya Disemba. Kwa mujibu wa viongozi wa kidini jimboni ni kuwa ni jukumu la wazazi kuhakikisha kwamba watoto wao wamo salama wakti huu wa likizo. Wakiongozwa[Read More…]

Read More

Wakaazi wa lokesheni ya Tigo eneo bunge la North Horr watoa wito kwa serikali kuwajengea shule ya msingi.

Na Samwel Kosgei, wa lokesheni ya Tigo eneo bunge la North Horr kaunti ya Marsabit, wametoa wito kwa serikali kupitia viongozi wao kuwajengea shule ya msingi katika eneo hilo. Wakaazi hao kwa masikitiko wameambia Shajara Ya Jangwani kuwa ukosefu wa shule ya msingi ya umma umewaathiri wanafunzi wengi kwani baadhi[Read More…]

Read More

Serikali yaanzisha kituo cha polisi cha kuzima ghasia eneo la Kambiye kaunti ya Marsabit.

Na Samuel Kosgei, Mbunge wa Laisamis Joseph Lekuton amepongeza serikali ya kitaifa kwa kuchukua hatua ya haraka na kutuma askari wa kitengo kurejesha amani kwa kasi (RDU) katika lokesheni ya Kambinye eneobunge la Laisamis. Akizungumza alipowatambulisha askari hao katika Manyatta hiyo ya Kambinye, Lekuton amesema ujio wa askari hao wa[Read More…]

Read More

It is now Time For Radical Changes at KRA, says President William Ruto as he asks to hit kshs 3 Trillion

By Radio Jangwani President William Ruto has asked the Kenya Revenue Authority (KRA) to change approach in tax collection. The President asked KRA to maximise tax collection while reducing the compliance burden on taxpayers by becoming a customer-centric entity. “A huge obstacle to the realisation of our national revenue targets[Read More…]

Read More

Rais William Ruto wataka mawaziri wote kufanya kazi hadi usiku kunyoosha mambo

Na Machuki Dennson Rais William Ruto amewafahamisha mawaziri wapya kuwa hawana budi ila kufaulu katika kazi zao kama mawaziri. Rais amesema kuwa yuko tayari kufanya nao kazi kuhakikisha wanafaulu katika utendakazi kwa wakenya bila ya kufeli. Amesema atawapa msaada wowote wanaohitaji ili kuwahudumia wakenya kama ilivyo katika katiba ya Kenya.[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter