Game of Thrones star, Ian Gelder dead at 74.
May 9, 2024
regional updates and news
By Machuki Dennson The Milimani Anti-Corruption Court has convicted former accountant at the Ministry of Education Christine Chacha, for fraudulently receiving KSh54,000 and falsely accounting for KSh3.3M, in 2009. The Court convicted Chacha for receiving KSh 54,000 purportedly used to pay accommodation for resource persons to facilitate a workshop held[Read More…]
Familia zinaomboleza vifo vya watoto watatu waliokufa maji katika mto wa Kathita kaunti ya Tharaka Nithi. Watoto hao walikua wamekuenda kutafuta maji ya kufua sare zao wakati wa mkasa. Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba watoto hao walikuwa wanne wakati wa mkasa huo ila mmoja wao alifaulu kuogelea hadi ufuoni[Read More…]
Rais William Ruto hii leo ameandaa ibada ya shukran kwa mwenyezi Mungu kufuatia ushindi wao katika uchaguzi mkuu uliopita maajuzi. Ibada hiyo imefanyika katika ikulu ya rais Nairobi. Rais Ruto amewashukuru wake wote kwa uchaguzi uliokamilika akisema kuwa ushindi wake ni ushindi wa wote. Rais amewataka wahubiri na wainjilisti kuombea[Read More…]
Na Silvio Nangori Mtu mmoja ameaga dunia huku mwingine akinusurika na jeraha la risasi katika eneo la Merille kaunti hii ya Marsabit baada ya kuvamiwa na majambazi. Akidhibitisha kisa hicho kamanda wa kaunti ndogo ya Laisamis Wyclif Lang’at amesema kwamba majambazi hao walimvamia marehemu ambaye ni mfanyibiashara mwendo wa saa[Read More…]
Na Winnie Adelaide Kule moyale Wafanyibiashara wameitaka serikali kushughulikia kwa haraka mzozo wa mpaka wa Kenya na Ethiopia ili kuwaruhusu kununua bidhaa bila vizingiti kwa kuvuka Ethiopia. Akizungumza na radio jangwani mwenyekiti wa Chama cha Wanabiashara na Viwanda mjini Moyale Mohammed Ali amesema kwamba serikali ya Kenya inafaa kuzungumza na[Read More…]
Na Silvio Nangori Visa vya utapiamlo miongoni mwa watoto katika kaunti ya Marsabit vinazidi kuongezeka Zaidi. Kulingana na shirika la msalaba mwekundu ni kwamba hali hiyo ya utapiamlo imeongezeka kwa asilimia 30 watoto wakikosa kupata lishe bora. Shirika hilo limesema kwamba hali ya sasa ipo mbaya zaidi na hivyo[Read More…]
Pastoralists’ leaders have moved quite fast in search of greener pastures probably before the migration window closes As predicted by Radio Jangwani political pundits the United Democratic Movement (UDM) has migrated Kenya Kwanza from now the troubled Azimio La Umoja. UDM Party Leader and Mandera Senator-Elect Ali Roba, Deputy Party[Read More…]
Mgombea wa kiti cha MCA wadi ya North Horr Tura Ruru Elema amekihifadhi kiti chake. Ruru ambaye amewania kwa tiketi ya chama cha KANU ameshinda kwa kupata kura 2978. Adano Salesa Galgallo wa Jubilee anamfuata Kwa kujizolea kura 2826. Isacko Budha wa UPIA amepata kura 588. Afisa wa kituo cha kujumuisha kura eneo[Read More…]
By Radio Jangwani The Al-Qaeda leader, Ayman al-Zawahiri was killed on Sunday 31st July 2022 in a CIA drone strike in Afghanistan’s capital Kabul, United States President Joe Biden has so far confirmed. According to US President Joe Biden, ‘justice has been delivered’ after Al-Qaeda leader was located and killed in[Read More…]
By Machuki Dennson President Uhuru Kenyatta has officially commissioned the 27.8 km Nairobi Expressway which has been in use on trial basis since 15th May. The 599 million USD elevated dual carriageway was developed on Public-Private Partnership (PPP) arrangement, and stretches from Mlolongo through Uhuru Highway to James Gichuru Road[Read More…]