WAUGUZI KATIKA KAUNTI YA MARSABIT WAMEAPA KUENDELEA NA MGOMO WAO HADI PALE SERIKALI YA KAUNTI YA MARSABIT ITAKAPOSHUGHULIKIA MATAKWA YAO YOTE.
September 19, 2024
regional updates and news
Na Waihenya Isaac, Ofisi Kuu Inayoshughulikia Mchakato Wa BBI Pamoja Na Wanaounga Mkono Suala Hilo Nchini Leo Wamekabidhi Tume Huru Ya Uchaguzi Na Mipaka IEBC Sahihi Za BBI Zaidi Ya Milioni Tatu Walizokusanya Wakti Wa Zoezi La Ukusanyaji Sahihi. Timu Hiyo Inayoongozwa Na Kinara Wa Wachache Bungeni Junet Mohammed[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Huku Mgomo Wa Wahudumu Wa Afya Ukiingia Siku Yake Ya Nne Hii Leo, Baraza La Magavana Nchini Limetataka Magavana Wote Wakutane Na Vyama Vya Wafanyakazi Vya Afya Vya Kaunti Vinavyotambuliwa Na Kujadili Malalamiko Yao Kwa Nia Ya Kutatua Malalamishi Ya Wafanyikazi Wa Afya Kwa Amani. Kwenye Taarifa[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Aliyekuwa Mbunge Wa Jimbo La Arusha Mjini, Godbless Lema, Aliyetorokea Kenya Mwezi Uliopita Kutokana Na Madai Ya Maisha Yake Kuwa Hatarini Nchini Tanzania Hatimaye Amepata Nafasi Ya Hifadhi Ya Kisiasa Nchini Canada. Wakili Wake George Luchiri Wajackoyah Amethibitisha Kuwa Lema Aliondoka Jana Kenya Akiwa Na Familia Yake.[Read More…]
Statehouse President Uhuru Kenyatta has congratulated President Nana Akufo-Addo following his re-election for a second term in office. President Kenyatta said the re-election of President Akufo-Addo in a hotly contested poll demonstrates the strong confidence and trust the people of Ghana have in his visionary and progressive leadership. “On behalf[Read More…]
By Radio Jangwani Chief Registrar of the Judiciary Anne Amadi has called on organizations to partner with the Judiciary to expand legal aid to Kenyans. Speaking at the First National Conference on Legal Aid organized by Egerton University Law School, in Elementaita, Amadi who was the chief guest said that[Read More…]
By Mark Dida, Wafanyabiashara mjini Marsait, wamelalamikia kile wanachosema ni hatua ya maafisa wa idara ya kuzoa taka katika kaunti ya Marsabit, kujikokota kuondoa taka mjini humu. Wamesema kuwa taka hizo ambazo zimerundikana katikati ya mji, zinatoa uvundo kiasi cha kuyumbisha biashara zao. Wanataka taka hizo kuondolewa haraka iwezekanavyo, wakisema[Read More…]
By Waihenya Isaac, Mwenyekiti Wa Muungano Wa Madaktari Nchini KMPDU Dr. Samuel Oroko Ametaka Serekali Kuchukulia Kwa Maanani Wahudumu Wa Afya Nchini Ili Kuwaepusha Na Hatari Inayowakondolea Macho Ya Maambukizi Ya Korona. Akizungumza Jijini Nairobii Oroko Ametaja Kuwa Ni Jambo La Kughadhabisha Mno Kuona Kuwa Serekali Bado Inaendeleza Ajenda Ya[Read More…]
By Samuel Kosgei, Naibu Wa Rais Dkt William Ruto Amejitokeza Na Kukashifu Vikali Wanasiasa Anaosema Kuwa Wanaweka Maslahi Yao Mbele Haswa Wakti Huu Wahudumu Wa Afya Wanapogoma. Akizungumza Katika Kaunti Ya Kericho Alipohudhuria Mazishi Ya Luteni Mstaafu John Koech, Ruto Anasema Kuwa Taifa Lipo Kwenye Janga Kuu La Kimataifa Na Hivyo Kusema[Read More…]
Picha; Hisani By Mark Dida. Huku Mgomo Wa Wauguzi Na Matabibu Ukiendelea Kote Nchini, Wauguzi Na Matabibu Katika Hospitali Za Umma Kaunti Ya Marsabit Wametangaza Kuwa Wataendelea Na Kazi. Katika Hospitali Ya Rufaa Ya Marsabit, Wauguzi Na Matabibu Wanaendelea Kuwahudumia Wagonjwa, Huku Afisa Mkuu Mtendaji Wa Hospitali Ya Marsabit Liban[Read More…]