Local Bulletins

regional updates and news

Ibrahim Rotich suspected to have murdered Two Time World Athletics champion Agnes Tirop, arrested in Coast while fleeing to Tanzania

  The prime suspect in the gruesome murder of 25-year-old world 5,000m record holder Agnes Tirop, has been arrested. Ibrahim Rotich, who was in a relationship with the athlete was arrested on Thursday night in Changamwe, Mombasa county, as he tried to flee to a neighboring country to evade justice.[Read More…]

Read More

Serekali yatakiwa kuzidisha mpango wa kusambaza chakula cha msaada kwa wenyeji wa maeneo yanayokumbwa na ukame. – Mbunge wa North Horr Chachu Ganya.

Na Adano Sharawe, Mbunge wa North Horr Chachu Ganya ametoa mwito kwa serikali kuu kuzidisha mpango wa kusambaza chakula cha msaada kwa wenyeji wa maeneo yanayokumbwa na ukame. Akiunga mkono muswada kuhusu ukame bungeni, Ganya ametaja kuwa idadi ya wananchi wanaozidi kuadhirika inazidi kuongezeka kila kuchao na kwamba serikali haina[Read More…]

Read More

Warsha ya siku tatu ya kutoa mafunzo ya kidini kwa walimu wa watoto wa kanisa katoliki PMC yangoa Nanga.

By Waihenya  & Qabale, Warsha ya siku tatu ya kutoa mafunzo ya kidini kwa walimu wa watoto wa kanisa katoliki PMC katika jimbo la Marsabit imengoa nanga rasmi hii leo. Warsha hiyo ambayo inaongozwa na mratibu wa maswala ya vijana katika kanisa katolika jimboni Marsabit Sister Agatha Katuma Mativo inapania[Read More…]

Read More

Oparasheni ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliomaliza darasa la 8 wanajiunga na shule za upili imeingia siku yake ya tatu hii leo.

By Waihenya Isaac, Oparasheni ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wote waliomaliza darasa la 8 wanajiunga na shule za upili imeingia siku yake ya tatu hii leo. Operesheni hiyo iliyoanzishwa siku ya jumatatu na waziri wa elimu Profesa George Magoha analenga kuhakikisha asilimia mia ya wanafunzi wanaojiunga na shule za sekondari. Hii[Read More…]

Read More

Serekali imeweka mikakati ya kuhakikisha usalama wakati wa uchaguzi mkuu ujao. – Waziri Matiangi.

By Waihenya Isaac, Waziri wa usalama Daktari fred Matiangi ameleza kuwa serekali imeweka mikakati ya kuhakikisha usalama wakati wa uchaguzi mkuu ujao na pia hali shwari ya kuipokeza mammlaka serekali mpya. Akizungumza na waandishi wa habari, waziri Matiangi ameleza kuwa asasi za usalamua ziki imara kuhakikisha ya kwamba uslama umeimarishw[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter