Author: Isaac Waihenya

Wanafunzi Wa Shule Ya Msingi Ya Elmollo Iliyo Eneo La Loiyangalani Wahangaika Kufika Shuleni Baada Ya Barabara Kusombwa Na Maji.

By Adho Isacko Kufuatia kuongezeka kwa viwango vya maji katika eneo la Loiyangalani kaunti ya Marsabit mwaka jana shule kadhaa zimeadhirika huku barabara zikikatika na vyoo pamoja na madarasa kuzama. Katika shule ya msingi ya Elmollo iliyo eneo la Loiyangalani wanafunzi sasa wanataabika hata kufika shuleni kwani barabara waliyokuwa wakitumia[Read More…]

Read More

Kamishna Wa Kaunti Ya Marsabit Paul Rotich Amesema Zaidi Ya Asilimia 50 Ya Wanafunzi Katika Shule Mbalimbali Katika Kaunti Ya Marsabit Wamerudi Shuleni.

Picha; Hisani By  Mark Dida. Kamishna Wa Kaunti Ya Marsabit Paul Rotich Amesema Zaidi Ya Asilimia 54 Ya Wanafunzi Katika Shule Mbalimbali Katika Kaunti Ya Marsabit Wamerudi Shuleni. Rotich Ameelezea Kuridhishwa Na Utayari Wa Shughuli Hiyo Kwenye Shule Za Kaunti Hii Na Aslimia Ya Watoto Waliorejea Shuleni Tangu Siku Ya[Read More…]

Read More

Baadhi Ya Walimu Wa Shule Za Umma Kaunti Ya Marsabit Waelezea Kusikitishwa Kwao Na Hali Ya Shule.

By Adano Sharawe, Samwel Kosgei & Adho Isacko Baadhi Ya Walimu Wa Shule Za Umma Kaunti Ya Marsabit Wameeleza Kusikitishwa Kwao Na Hali Ya Shule Wanaozoongoza Ikizingatiwa Kuwa Wanahitajika Kuzingatia Masharati Ya Wizaraya Afya Ilhali Hawajapokezwa Pesa Za Shughuli Hiyo Na Serikali Kama Walivyoahidiwa. Baadhi Ya Changamoto Wanazotaja Kuzipitia Ni[Read More…]

Read More

Seneta Kipchumba Murkomen Kupinga Mipango Yoyote Ya Kumuondoa Seneta Irungu Kang’ata Kutoka Kwa Nafasi Yake Ya Kiranja Wa Bunge La Seneti

By Adano Sharawe Seneta Wa Elgeyo Marakwet Kipchumba Murkomen Sasa Anasema Atapinga Mipango Yoyote Ya Kumuondoa Seneta Irungu Kang’ata Kutoka Kwa Nafasi Yake Ya Kiranja Wa Bunge La Seneti Murkomen Amesema Ikiwa Uongozi Wa Chama Cha Jubilee Utaitisha Kikao Cha Kumuondoa Kang’ata, Watahudhuria Na Kupinga Hatua Hiyo. Amesema Badala Yake[Read More…]

Read More

Kasisi Mmoja Katika Kaunti Ya Kirinyaga Akabiliwa Na Mashataka Ya Kuwanajisi Na Kuwapa Ujauzito Wanawe Wawili Wenye Umri Wa Miaka 14 And 16 Mtawalia.

By Jilo Dida. Kasisi Mmoja Katika Eneo  La Ndia Kaunti Ya Kirinyaga Anakabiliwa Na Mashataka Ya Kuwanajisi Na Kuwapa Ujauzito Wanawe Wawili Wenye Umri Wa Miaka 14 And 16 Mtawalia. Mshukiwa  Huyo Kwa Jina  Guchina Mwenye Umri Wa Miaka 51 Atasalia  Rumande Hadi Siku Ya Alhamisi Januari 7 Baada Ya[Read More…]

Read More

Waziri Magoha Awaonya Waalimu Wakuu Wanaowarudisha Nyumbani Wanafunzi Kwa Kukosa Kulipa Ada Ya Maendeleo Ya Shule

By Adano Sharawe Serikali Kupitia Wizara Ya Elimu Imewaonya Vikali Walimu Wakuu Wanaowarudisha Nyumbani Wanafunzi Kwa Kukosa Kulipa Ada Ya Maendeleo Ya Shule. Akizungumza Alipozuru Shule Mbali Mbali Katika Kaunti Ya Nyeri Waziri Wa Elimu Prof George Magoha Ameonya Kuwa Mwalimu Yeyote Atakayemrudisha Mwanafunzi Nyumbani Kwa Kutolipa Ada Hio Ya[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter