Watu 25 ikiwemo watoto 6 waendelea kupokea matibabu katika eneo la Kamboe,Marsabit baada ya kudaiwa kula mzoga wa ngamia.
February 25, 2025
Na Caroline Waforo, Maafisa wa polisi pamoja kwa ushirikiano na machifu wanaendeleza msako wa pombe haramu pamoja na mihadarati mjini Marsabit. Operesheni hiyo iliyongo’a nanga alhamisi wiki jana inapania kuhakikisha kuwa utumizi wa pombe haramu pamoja na mihadarati unakomeshwa kikamilifu kulingana na kamanda wa polisi Leonard Kimaiyo. Aidha wamiliki wa vilabu[Read More…]
Na Caroline Waforo, Walimu wakuu humu jimboni Marsabit wametakiwa kuwa makini ili kuzia visa vya mikasa ya moto. Ni tahadhari ambayo imetolewa na kamishna wa kaunti ya Marsabit James Kamau ambaye amezungumza na meza ya Radio Jangwani afisini mwake. Kamishna Kamau anasema kuwa iwapo walimu wakuu watahakikisha kuwa wanakabiliana na[Read More…]
Na Caroline Waforo, Afisa moja wa akiba NPR katika wadi ya Loiyangalani eneo bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit amekamatwa kwa kumiliki bunduki tatu kinyume cha sheria. Akithibitisha kisa hicho kamanda wa polisi kaunti ya Marsabit Leonard Kimaiyo amesema kuwa afisa huyo wa akiba kutoka kaunti ya Samburu alikamatwa katika[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wanafunzi wa nyajani maarufu Interns wanaliofanya kazi katika idara mbalimbali za serikali ya kaunti ya Marsabit kati ya mwezi Septemba mwaka jana 2023 hadi Agosti mwaka huu wamelalamikia kutolipwa mishahara yao. Wakiongozwa na Ismail Hirsi wafanyikazi hao wametaja kwamba walilipwa mishahara ya miezi minee pekee licha kufanya[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Serekali ya kaunti ya Marsabit kupitia idara ya huduma za jamii inapania kuandaa mashindano ya riadha ya watu wanaoishi na ulemavu haswa wanaotumia magari ya magurudumu maarufu Wheel Chairs. Kwa mujibu wa mkurugenzi katika idara ya huduma za jamii kaunti ya Marsbit Galgallo Okotu ni kuwa zoezi[Read More…]
Na JB Nateleng, Serekali ya kaunti ya Marsabit na pamoja na serekali kuu zimetakiwa kushirikiana kuangazia masuala yanayaokumba jamii ya Loiyangalanai baada ya ziwa Turkana kufura na kuadhiri wakazi wanaoishi karibu na ziwa hilo. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya simu, mkurugenzi wa shirika la Wong`an Women Initiative Teresalba[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Idara ya maji katika kaunti ya Marsabit imesaamba tenki za plastiki za maji za lita 5,000 kwa kaya 450 za hapa jimboni Marsabit. Akizungumza wakati wa zoezi hilo afisa mkuu katika idara ya maji Roba Galma, amesema kuwa zoezi hilo linalenga kupunguza changamoto za uhaba wa maji,[Read More…]
Na Caroline Waforo, Wakaazi eneo la badassa eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit wamepongezwa kwa kudumisha amani. Hii ni baada yao kuwakamata vijana watatu usiku wa kuamkia leo na kuwawasilisha kwa idara ya usalama. Watatu hao wanaodaiwa kutoka eneo bunge la Laisamis walipatikana usiku katika eneo la Badassa na[Read More…]
Na Grace Gumato Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka saba amefariki hii leo katika eneo la Songa baada ya kuumwa na nyoka hapo jana. Afisa mtendaji katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Kusu Abduba amesema kuwa mtoto huyo alifikishwa katika hospitali hiyo akiwa amefariki saa za usiku. Aidha amesema kuwa[Read More…]
Na Caroline Waforo Wakaazi jimboni Marsabit wametakiwa kujiepusha na dhana potovu zinaoenezwa kuhusu maambukizi ya ugonjwa wa nyani Mpox. Haya ni kutokana na madai kuwa baadhi ya wakaazi jimboni wanawaua mbwa kwa dhana kuwa wanahusika na maambukizi ya mpox. Tahadhari hii imetolewa na afisa anayefuatilia magonjwa jimboni Marsabit Qabale Duba.[Read More…]