Featured Stories / News

Waokaje wa mikate waonywa dhidi ya kupunguza uzani na kutoa matangazo ya uwongo

Silvio Nangori Mamlaka ya kuthibiti Mashindano katika Biashara nchini imwaagiza waokaji wa mikate kukoma kuwaibia wakenya. Kwenye taarifa yake hii leo Mamlaka hiyo imewaagiza wote wanaotengeneza mikate kuweka bayana taarifa yote muhimu katika uuzaji wa mikate yao. Mamlaka hiyo imewataka waokaji wa mikate kuweka wazi tarehe ya kutengenezwa kwa mikate[Read More…]

Makundi mbalimbali yanazidi kujitokeza kuwatetea majaji waliotoa uamuzi unasimamisha mchakato wa kubadilisha katiba kupitia BBI.

Na Waihenya Isaac Makundi mbalimbali yanazidi kujitokeza kuwatetea majaji waliotoa uamuzi unasimamisha mchakato wa kubadilisha katiba kupitia BBI. Muungano wa wanasheria wa kimataifa ICJ tawi la Kenya umekuwa wa hivi punde kuwasuta wanasiasa kwa kuendelea kuwashambulia majaji waliotoa uamuzi huo. Kupitia kwa mwenyekiti wake Kelvin Mogeni, ICJ imesema inasimama na[Read More…]

Rais Uhuru Kenyatta yuko nchini Djibouti, kuhudhuria hafla ya kuapishwa kwa Rais Ismail Omar Guelleh.

Na Adano Sharawe. Rais Kenyatta,ambaye ni mwenyekiti wa sasa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki aliwasili nchini humo Jumamosi asubuhi akiwa ameandamana na waziri wa mashauri ya kigeni Raychelle Omamo. Viongozi wengine wanaohudhuria sherehe hiyo ni waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed, rais Muse Bihi Abdi wa Somaliland na waziri mkuu[Read More…]

Aliyekuwa Mbunge wa Samburu Mashariki Job Kasaine Lalampaa azikwa hii leo.

Na Silvio Nangori, Aliyekuwa Mbunge wa Samburu Mashariki Job Kasaine Lalampaa amezikwa hii leo nyumbani kwake katika kijiji cha Ldupai Samburu mashariki. Kasaine alikuwa Mbunge wa Samburu Mashariki Tangu mwaka wa 1979 Hadi 1992. Alikuwepo miongoni mwa viongozi walitajwa kufanya Maendeleo mengi katika kaunti hiyo. Kasaine alichaguliwa kama Mbunge wa[Read More…]

Subscribe to eNewsletter