Wafugaji waendelea kuhimizwa kuchukua tahadhari msimu huu wa mvua
Na JB Nateleng Wito umetolewa kwa wafugaji kuchukua tahadhari wakati huu ambapo idara ya utabiri…
Marsabit yaadhimisha siku ya wanyama duniani
Na Nyabande Orwa Kaunti ya Marsabit imeungana na dunia nzima kusherehekea siku ya wanyama duniani…
Idara ya kilimo Marsabit yahimiza wakulima kuchangamkia mvua za mapema.
Na Samuel Kosgei Wakulima katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuchangamkia msimu wa mvua unaoonekana kuanza…
Jamii za Marsabit zahimizwa kukomesha ubaguzi dhidi ya makundi maalum
Na JB Nateleng Wananchi katika kaunti ya Marsabit wamahimizwa kukomesha ubaguzi dhidi ya makundi maalum…
Wananchi Marsabit watakiwa kuchukua tahadhari wakati huu idara ya MET imetabiri mvua katika baadhi ya maeneo
Na Caroline Waforo Wakaazi katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuchukua tahadhari wakati huu ambapo idara…
Baadhi ya maeneo kaunti ya Marsabit kuendelea kupokea mvua katika kipindi cha siku saba zijazo
Na Caroline Waforo Utabiri wa hali ya hewa katika kipindi cha siku saba zijazo kuanzia…
Shirikisho la Soka (FKF) tawi la Marsabit latangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha la uhamisho kwa wachezaji.
Na JB Nateleng Shirikisho la Soka (FKF) tawi la Marsabit limetangaza rasmi kufunguliwa kwa dirisha…
Wanafunzi wa gredi ya tisa wabuni roboti ya kuimarisha kilimo, Marsabit
Na JB Nateleng Ubunifu umechukua nafasi ya kipekee katika kaunti ya Marsabit baada ya wanafunzi…
Mwanamume afungwa miaka 10 Jela kwa Kumtishia babake kwa kisu Marsabit
Mwanamume mmoja mwenye umri wa miaka 27 amehukumiwa kifungo cha miaka kumi jela kwa kosa…
Maafisa wa gereza la Marsabit watibua jaribio la mshukiwa mmoja kutoroka
Na Caroline Waforo Maafisa wa gereza la Marsabit wametibua jaribio la mshukiwa mmoja kutoroka, katika…
Familia zaidi ya 100 katika eneo la Saku wafaidika na chakula cha msaada kutoka kwa kanisa la AIC Marsabit
Na JB Nateleng Angalau familia zaidi ya 100 katika eneo la Saku wameweza kufaidika na…
Jamii za wafugaji Loiyangalani zatakiwa kuvumiliana wanapokuwa katika sehemu za malisho.
NA JB Nateleng Chifu wa Lokesheni ya Mt Kulal, eneo wadi ya Loiyangalani, Kaunti ya…