Featured Stories / News

Mswada kuhusu dawa za kulevya kurejeshwa Bungeni – wakati huu ukiwa na vipengee vinavyopendekeza adhabu kali zaidi.

Na Waihenya Isaac, Rais Uhuru Kenyatta ana mpango wa kurejesha mswada wa mwaka jana bungeni kuhusu dawa za kulevya, wakati huu ukiwa na vipengee vinavyopendekeza adhabu kali zaidi. Tayari baadhi ya wabunge wamepongeza hatua hii lakini kwa wakati huo akaomba mswada huo upigwe msasa ili uzingatie zaidi kumsaidia mraibu kurekebika[Read More…]

Dereva aliyehusika katika ajali iliyowaua watu wawili hula hula Marsabit awasilishwa mahakamani.

By Grace Gumato Na katika mahakama hiyo hiyo ya Marsabit, dereva aliyehusika katika ajali ya Hulahula iliyowaua watu wawili amewasilishwa mahakamani. Isaya Roble Elsimonte alifikiwa mbele ya hakimu Tom Mbayaki na kushtakiwa kwa mashataka ya mauaji ya kukusudia kwa kuendesha gari vibaya kinyume na sheria. Elsimote alikamatwa siku ya Jumatatu[Read More…]

Chama cha KNUT chatazamiwa kufanya uchaguzi wa viongozi wake tarehe 26 mwezi huu.

By Waihenya Isaac, Chama cha waalimu nchini KNUT kinatazamiwa kufanya uchaguzi wa kuwachagua viongozi wake tarehe 26 mwezi huu. Akizungumza na waandishi wahabari mjini Eldoret naibu katibu wa chama cha KNUT Hezbon Otieno amesema kwamba mipango yote imekamilika ya kufanikisha uchaguzi huo ikizingatia kanuni zilizoko za kukinga maambukizi ya virusi[Read More…]

Shirika la Haki Afrika latishia kuwashtaki maafisa wa polisi wanaowaachilia huru washukiwa wa dhulma za kijinisia.

By  Waihenya Isaac, Shirika la kutetea haki za binadamu la Haki Afrika limetishia kuwashtaki maafisa wa polisi wanaowaachilia huru washukiwa wa dhulma za kijinisia. Afisa wa shirika hilo Abdulrahman Mwangoka amewataka wakuu wa idara ya polisi kufuatilia suala hilo ili maafisa hao wakabiliwe kisheria. Mwangoka ameshtumu vikali hulka ya maafisa wa polisi[Read More…]

Mswaada wa mifungo unaolenga kudhibiti ufugaji wa nyuki hautaidhinishwa. – Asema Waziri Chulungui.

By Waihenya Isaac Waziri wa leba Simon Chilugui amekashifu mswaada wa mifungo unaolenga kudhibiti ufugaji wa nyuki akisema kwamba utawakandamiza wanaofanya biashara hiyo. Waziri Chulugui amesema kuwa ipo wakaazi wanaotegemea nyuki kwa mapato yao na kuahidi kuwa mswaada huo hautaidhinishwa. Mwaada huo unapendekeza marufuku ya kufuga nyuki Katika ardhi ya[Read More…]

Subscribe to eNewsletter