Featured Stories / News

MTOTO WA MIAKA 7 AFARIKI SONGA BAADA YA KUUMWA NA NYOKA.

Na Grace Gumato Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka saba amefariki hii leo katika eneo la Songa baada ya kuumwa na nyoka hapo jana. Afisa mtendaji katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Kusu Abduba amesema kuwa mtoto huyo alifikishwa katika hospitali hiyo akiwa amefariki saa za usiku. Aidha amesema kuwa[Read More…]

WAZAZI JIMBONI MARSABIT WATAKIWA KUWAREJESHA WANAO WA SHULE ZA PILI ZA UMAA SHULENI BAADA YA KUPPET KUSITISHA MGOMO.

Na JB Nateleng,  Kufuatia makubaliano ya kurejea kazini kati ya chama cha walimu wa shule za upili na vyuo va kadri nchini (KUPPET) na tume ya kuwajiri walimu (TSC), walimu sasa wanatarajiwa kurejea shuleni kuendeleza kalenda ya masomo. Akizungumza na wanahabari mjini Marsabit,katibu mtendaji wa KUPPET tawi la Marsabit Sarr[Read More…]

SEREKALI YA KAUNTI YA MARSABIT IMETAKIWA KUHAKIKISHA KUWA WATU WANAOISHI NA ULEMAVU WAMEWAKILISHWA KIUKAMILIFU.

Na JB Nateleng, Serekali ya kaunti ya Marsabit ni sharti ihakikishe ya kwamba watu wanaoishi na ulemavu wamewakilishwa katika idara zote kiukamilifu. Hayao yamekaririwa na mwenyekiti wa muungano wawatu wanaishi na ulemavu wa Saku United Disabled Group John Boru Galgallo. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipee Boru amesema[Read More…]

IDARA YA AFYA KAUNTI YA MARSABIT KUAANZA KUWAFANYIA UCHUNGUZI WA HOMA YA NYANI YA MPOX WASAFIRI WOTE WANAOINGIA JIMBONI…

Na Caroline Waforo. Idara ya afya kaunti ya Marsabit itaanza kuwafanyia uchunguzi wa homa ya nyani ya MPOX wasafiri wote wanaoingia jimboni. Hii ni kutokana na kuendelea kurekodiwa kwa ugonjwa huo wa MPOX humu nchini pamoja na kisa kinachoendelea kufanyia uchunguzi katika kaunti jirani ya Isiolo. Kulingana na afisa wa[Read More…]

MAKUNDI YANAYOFANYA BIASHARA YA UPANZI WA MICHE KAUNTI YA MARSABIT YATAKIWA KUJIANDIKISHA NA IDARA YA MISITU ILI KUNUFAIKA NA MIPANGO YA SEREKALI.

Na Isaac Waihenya,  Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametakiwa kutunza miche ambayo imepandwa ili kuongezea kiwango cha miti hapa jimboni. Kulingana wa afisa mkuu katika idara ya misitu na mali asili kaunti ya Marsabit Pauline Marleni aliyeongea na Radio Jangwani kwa njia ya kipekee,ni kwamba iwapo jamii haitatunza miche iliyopandwa[Read More…]

Subscribe to eNewsletter