Featured Stories / News

Radio Jangwani yaadhimisha miaka 9 tangu kuanzishwa kwake mwaka wa 2016.

Na Samuel Kosgei Kituo cha radio Radio Jangwani kinaadhimisha miaka 9 tangu kuanzishwa kwake huku kikisalia kuwa nguzo muhimu kwa jamii ya wafugaji wa Marsabit kwa kutoa habari, malezi ya kiroho, na hata burudani. Baadhi ya mashabiki wa mwanzo wa radio jangwani wakiongozwa na Isaac Leria maarufu kama Mzee Dokhle kutoka eneo[Read More…]

Subscribe to eNewsletter