Idara ya vijana na michezo kaunti ya Marsabit yaaanda mafunzo ya siku mbili kwa vijana kuhusiana na jinsi ya kupata bima ili kutunza biashara zao, afya au hata bodaboda zao.
March 17, 2025
Na Caroline Waforo, Idara ya usalama kaunti ya Marsabit imelaumiwa kwa utepetevu katika kusuluhisha visa vya wizi wa bodaboda hapa mjini Marsabit. Idara hii sasa imetakiwa kuwajibika katika majukumu yake na hata kuhakikisha kuwa haki inapatikana kufuatia mauaji ya mhudumu moja wa bodaboda viungani mwa mji wa Marsabit. Wakizungumza wakati[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Madaktari wasio na mipaka (MSF) wamewasili katika eneo la Moite ili kufanya uchunguzi zaidi kuhusiana na ugonjwa wa Surua maarufu Measles ulioripotiwa kuzuka wiki jana katika eneo hilo. Kwa mujibu wa afisa wa afya katika kaunti ndogo ya Laisamis Yusuf Galmogle ni kuwa wataalam hao wa afya[Read More…]
NA SABALUA MOSES Na huku dunia ikienda kusherekea siku ya figo duniani hiyo kesho wakaazi katika kaunti ya marsabit wamehimizwa kutembelea hospitali ya rufaa ya marsabit ili kupimwa kama wana magonjwa ya figo Akizungumza na shajara ya radio jangwani Jilo Abdi Nassir ambaye ni daktari mkuu anayesimamamia matibabu ya figo[Read More…]
Na Henry Khoyan Machifu jimboni Marsabit wametoa wito kwa wazazi na walezi katika kaunti ya Marsabit, hususan wafugaji, kuhakikisha usalama wa watoto wao wakati huu wa mvua inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali jimboni. Wakiongozwa na Chifu wa eneo la Songa, Abdi Dera, machifu hao wamesisitiza kuwa jukumu la kuchunga mali[Read More…]
Na Carol Waforo Onyo kali limetolewa kwa yeyote aliye na nia ya kutekeleza mashumbulizi ya wizi wa mifugo kwa nia ya kulipiza kisasi baada ya washukiwa watatu wa wizi wa mifugo kuuawa na maafisa wa polisi hivi wiki moja iliyopita. Onyo hili limetolewa na kamishna wa kaunti ya Marsabit James[Read More…]
Na Samuel Kosgei MWAKILISHI wadi wa Sololo John Boru ameonesha wasiwasi wake kutokana na hali ya kiangazi kuwa mbaya katika wadi yake suala analosema linahatarisha maisha wakaazi kutokana na ukosefu wa chakula na maji. MCA Boru akizungumza na kituo hiki ofisini mwake amesema kuwa idadi kubwa ya watu hawana uwezo[Read More…]
Na JB Nateleng Wamiliki wa majengo yaliyo na mabati ya Asbestos watawajibikia gharama ya kuyaondoa paa hizo kwenye majengo na nyumba zao. Hii ni kufuatia agizo la Baraza la Mawaziri kwa Mamlaka ya Kitaifa ya Kusimamia Mazingira nchini (NEMA) kusimamia kuondolewa wa mabati hayo ambayo yamekisiwa kuwa yanaweza kusababisha saratani.[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Wagonjwa wanougua ugonjwa wa Kalazaah katika hospitali ya Laisamis Level 4 katika kaunti ya Marsabit wanendelea vyema. Haya ni kwa mujibi mkurugenzi mkuu wa hospitali hiyo Liban Wako. Akizungumza na meza ya habari ya Radio Jangwani kwa njia ya simu, Wako ametaja kwamba tayari wagonjwa kumi wameruhusiwa[Read More…]
Na Caroline Waforo, Idadi ya mifugo isiyojulikana walisombwa na mafuriko katika eneo bunge la North Horr kufuatia mvua kubwa iliyonyesha hapo jana. Haya ni kulingana na kamishana wa kaunti ya Marsabit James Kamau ambaye amezungumza na wanahabari leo hii afisini mwake. Kamishna Kamau amewataka wakaazi jimboni na haswa walio katika[Read More…]
Na Sabalua Moses Wakulima kaunti ya Marsabit wamenufaika na mradi wa kaunti kupitia idara ya kilimo pamoja na shirika la chakula ulimwenguni WFP ya kuwapa mafunzo pamoja na vyandarua vya kustahimili makali ya jua yaani shade nets. Akizungumza na shajara ya radio jangwani mjini Marsabit kaimu mkuu katika idara ya[Read More…]