Vijana wa Saku wamelalamikia serekali ya kaunti ya Marsabit kutoidhinisha maswala waliyoibua wakati wa vikao vya kushirikisha umaa kwenye marekebisho ya bajeti…
February 5, 2025
regional updates and news
By Waihenya Isaac Waziri wa leba Simon Chilugui amekashifu mswaada wa mifungo unaolenga kudhibiti ufugaji wa nyuki akisema kwamba utawakandamiza wanaofanya biashara hiyo. Waziri Chulugui amesema kuwa ipo wakaazi wanaotegemea nyuki kwa mapato yao na kuahidi kuwa mswaada huo hautaidhinishwa. Mwaada huo unapendekeza marufuku ya kufuga nyuki Katika ardhi ya[Read More…]
By Waihenya Isaac, Wakaazi wa eneo la Shabaa kaunti ndogo ya Samburu ya kati wamepata afueni baada ya bomu lililopatikana katika eneo la sowit siku ya ijumaa kuteguliwa. Bomu hilo lilipatikana likiwa limefukiwa kwenye mchanga na watoto waliokuwa wakichunga mbuzi karibu na nyumba yao. Maafisa wa polisi wakiongozwa na naibu[Read More…]
Na Machuki Dennson Kanisa Katoliki limetaka mchakato wa kubadilisha katiba kupitia BBI kuahirishwa hadi baada ya uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2022. Katika ujumbe wao hii leo maaskofu wamewataka viongozi kuheshimu katiba na taasisi za kisheria. Wamependekeza kuwa mabadiliko muhim,u na ya dharura yafanyike kupitioa miswada ya[Read More…]
Na Mark Dida Watahiniwa 197 wa KCSE mwaka 2020 wamejizolea alama ya kuwawezesha kujiunga na vyuo vikuu kulinganishwa na mwaka 2019 ambapo wanafunzi 112 walijiunga na vyuo vikuu katika kaunti ya marsabit. Ni watahiniwa 2,013 waliufanya mtihani huo katika kaunti hii. Hii ni kwa mujibu wa Mkurugezi wa Elimu kaunti[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Jamii nyingi katika kaunti ya Marsabit zimewatelekeza wanawake huku wengi wao wakiumia kipindi kunapotokea majanga kwa kukosa ufahamu. Haya yamebainishwa wakati wa hafla ya kuwahamasisha wanawake kuhusu namna ya kujimudu wakati wa majanga. Afisa anayesimamia shughuli hiyo Sahara Ahmed amesema kuwa ipo hoja ya wanawake kupewa elimu[Read More…]
Silvio Nangori Mamlaka ya kuthibiti Mashindano katika Biashara nchini imwaagiza waokaji wa mikate kukoma kuwaibia wakenya. Kwenye taarifa yake hii leo Mamlaka hiyo imewaagiza wote wanaotengeneza mikate kuweka bayana taarifa yote muhimu katika uuzaji wa mikate yao. Mamlaka hiyo imewataka waokaji wa mikate kuweka wazi tarehe ya kutengenezwa kwa mikate[Read More…]
By Statehouse President Uhuru Kenyatta today presided over the operationalization of the first berth of the new Lamu Port, marking a major milestone for the regional Shs 2.5 trillion Lamu Port-South Sudan-Ethiopia Transport Corridor project (LAPSSET) launched in 2012. When complete, the Shs 310 billion port will have 32 berths,[Read More…]
Na Adano Sharawe, Kundi moja la mashirika ya kijamii limetoa wito kwa mkaguzi mkuu wa hesabu za matumizi ya pesa za serikali akague mara moja pesa za umma zilizotumiwa kufadhili shughuli za mchakato wa BBI na kuwachukulia hatua walioidhinisha matumizi ya pesa hizo. Kundi hilo linadai kwamba kwa vile mahakama[Read More…]
Na Adano Sharawe, Gavana wa kaunti ya Kirinyaga, Anne Waiguru amekosoa vikali hatua ya kumtawaza spika wa bunge la Kitaifa Justin Muturi kuwa msemaji wa jamii za eneo la Mlima Kenya. Kupitia ujumbe aliochapisha kwenye ukurasa wake wa Facebook na Twitter, gavana huyo amesema kuwa hafla kama ile haina maana[Read More…]
Na Waihenya Isaac Makundi mbalimbali yanazidi kujitokeza kuwatetea majaji waliotoa uamuzi unasimamisha mchakato wa kubadilisha katiba kupitia BBI. Muungano wa wanasheria wa kimataifa ICJ tawi la Kenya umekuwa wa hivi punde kuwasuta wanasiasa kwa kuendelea kuwashambulia majaji waliotoa uamuzi huo. Kupitia kwa mwenyekiti wake Kelvin Mogeni, ICJ imesema inasimama na[Read More…]