Viongozi Marsabit wakosoa hatua ya serekali kuvunjilia mbali shirika la NACONNET….
February 4, 2025
Na Samuel Kosgei ALIYEKUWA naibu wa rais Rigathi Gachagua ameendeleza mashambulizi ya maneno makali dhidi ya rais William Ruto akimtaja kama mtu mrongo na asiyefaa kuongoza taifa hili muhula mwingine. Gachagua akizungumza kwa kejeli kwenye hafla ya kufunguliwa kwa ofisi kuu ya chama cha DAP-K kinachoongozwa na Eugene Wamalwa amesema[Read More…]
Na Carol Waforo Tahadhari ya moto wa nyika imetolewa kaunti ya Marsabit haswa msimu huu wa kiangazi ambao tayari ulianza kushuhudiwa tangu mwishoni mwa mwaka jana 2024. Ni tahadhari ambayo imetolewa na mhifadhi wa msitu wa Marsabit Mark Lenguro ambaye amezungumza na shajara ya radio jangwani afisini mwake. Lenguro amewaonywa[Read More…]
Na Joseph Muchai Siku moja baada ya kiongozi wa chama cha NARC Kenya Martha karua kukosoa serikali kwa kulipiza ada ya shilingi elfu moja mtu anaposajiliwa kuchukua kitambulisho cha kitaifa kwa mara ya kwanza wakaazi wametoa maoni yao kuhusiana na swala hilo. Baadhi yao wanahoji kuwa serikali ina nia ya[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Serekali imejiandaa kikamilifu kuhakikisha kwamba mtaala mpya wa elimu haswa gredi ya 7,8 na 9 zinafaulu. Haya yamewekwa wazi na mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Marsabit Peter Magiri. Akizungumza wakati wa halfla ya shirika la Child Fund kuzawadi wanafunzi wa shule ya msingi ya Bubisa taa[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Sasa ni afueni kwa wanafunzi wa shule ya msingi ya Bubisa katika eneo Bubisa kaunti ya Marsabit baada ya shirika la Child Fund kwa ushirikiano na Econic Earth kuwazawadi taa 2,500 za sola zitakazowafaidi katika masomo yao. Kwa mujibu wa mkurungezi wa shirika la Child Fund nchini[Read More…]
Na Joseph Muchai Siku kadhaa baada ya mauaji ya watoto mapacha kuripotiwa katika eneo la Dukana eneobunge la North Horr imam wa msikiti wa jamia mjini Marsabit Sheikh Mohamed Noor amekemea kitendo hicho. Akiongea na kituo hiki Sheikh Noor amesema kuwa ni kinyume na haki za binadamu na pia sheria[Read More…]
Huku muhula wa kwanza katika kalenda ya masomo ukiendelea wafugaji jimboni Marsabit wamehimizwa kuwapeleka wanao shuleni. Ni himizo ambalo limetolewa na mhifadhi wa msitu wa Marsabit Mark Lenguro ambaye anasema kuwa baadhi ya wafugaji wanawanyima watoto haki yao ya kupata elimu kwa kuwapa majukumu nyumbani. Serikali imekuwa ikisisitiza haja ya[Read More…]
Shirika la hifadhi ya jamii la Melako limepinga Taarifa zilizopeperushwa na runinga moja ya kimataifa kuhusu utumizi mbaya ya fedha za hewa ya Carbon (Carbon credit funds), ambayo shirika hilo limekisiwa kutumia vibaya pamoja na madai mengine. Akizungumza na wanahabari kwa niaba ya Melako Community Conservancy, Joseph Lesoi amesema kuwa[Read More…]
Na Waandishi Wetu Mahakama ya Marsabit imeagiza kufukuliwa na kufanyiwa upasuaji, miili ya watoto mapacha waliouawa katika kijiji cha Dololo Boji kaunti ndogo ya Dukana katika kaunti ya Marsabit. Ni agizo ambalo limetolewa na hakimu mwandamizi wa mahakama ya Marsabit, Simon Arome ambaye ameagiza shughuli hiyo kufanyika katika muda wa[Read More…]
Wito umetolewa kwa wakaazi wa Marsabit kutembelea vituo mbalimbali vya watalii hapa jimboni ili kuimarisha uchumi wa jimbo. Kwa mujibu wa waziri wa jinsia na utalii katika kaunti ya Marsabit, Jeremiah Lendanyi, ni kuwa kaunti ya Marsabit ina vivutio vingi vya watalii na ambavyo vinaweza kuimarisha uchumi wa jimbo hili,[Read More…]