Editorial

ASLIMIA 30 YA WATU WANAOISHI KATIKA MIJI YA MARSABIT WANAPATA MAJI SAFI YA MATUMIZI. – ASEMA AFISA MKUU KATIKA IDARA YA MAJI HAPA JIMBONI MARSABIT ROB GALMA.

Na Isaac Waihenya & Abdilaziz Abdi, Ni aslimia 30 pekee ya watu wanaoishi katika miji ya Marsabit wanapata maji safi ya matumizi. Haya ni kwa mujibu wa afisa mkuu katika idara ya maji hapa jimboni Marsabit Rob Galma. Akizungumza na Radio Jangwani kwa njia ya kipekee wakati wa hafla ya[Read More…]

Read More

MWANAMUME MOJA MWENYE UMRI WA MAKAMU AMEIAGA DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI KATIKA ENEO LA KIWANJA NDEGE VIUNGANI VYA MJI WA MARSABIT.

Na Naima Abdullahi & Kame Wario, Mwanamume moja mwenye umri wa makamu ameiaga dunia leo hii baada ya kugongwa na gari katika eneo la kiwanja ndege viungani vya mji wa Marsabit. Inaarifiwa kuwa mwanaume huyo alikuwa kando mwa barabara kwa nia ya kuvuka barabara wakati gari la kibinafsi lilokuwa likitoka[Read More…]

Read More

WASHIKADAU KATIKA IDARA YA AFYA KAUNTI YA MARSABIT, WATAKIWA KUBUNI SHERIA AMBAYO ITABORESHA USALAMA WA MATUMIZI YA DAWA ZA KIENYEJI.

Na Naima Abdullahi & JB Nateleng, Dawa za kienyeji huenda zikawa za manufaa iwapo madaktari wa kienyeji watakaguliwa na kutathminiwa na idara husika kwa manufaa ya wanaoitumia. Haya ni kwa mujibu wa daktari Adan Abdullahi ambaye ni mtaalam wa dawa katika hospitali ya rufaa ya Marsabit. Akizungumza na idhaa hii[Read More…]

Read More

ASILIMIA 95 YA MADARASA YA GREDI YA 9 KATIKA SHULE ZA MSINGI SEKONDARI JSS KAUNTI YA MARSABIT YAMEKAMILIKA. – ASEMA MKURUGENZI WA ELIMU KATIKA KAUNTI YA MARSABIT PETER MAGIRI.

Na Isaac Waihenya & Abdilaziz Abdi, Angalau asilimia 95 ya madarasa ya gredi ya 9 katika shule za msingi sekondari JSS kaunti ya Marsabit yamekamilika Haya yamewekwa wazi na mkurugenzi wa elimu katika kaunti ya Marsabit Peter Magiri. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani ofisini mwake Magiri amesema kuwa ni[Read More…]

Read More

IDARA YA ELIMU KAUNTI YA MARSABIT KUHAMISHA SHULE MSINGI YA EL MOLO BAY KATIKA MAENEO SALAMA.

Na JB Nateleng & Isaac Waihenya Idara ya elimu katika kaunti ya Marsabit imesema kuwa shule msingi ya El Molo bay iliyo katika wadi ya Loiyangalani kaunti ya Marsabit itahamishwa hivi karibuni. Haya ni kulingana na mkrugenzi wa elimu jimboni Marsabit Peter Magiri. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya[Read More…]

Read More

WAKAAZI JIMBONI MARSABIT WAHIMIZWA KUJISAJILI KWA BIMA MPYA YA SHI

Na Caroline Waforo, Wakaazi jimboni Marsabit wamehimizwa kujisajili kwa bima mpya ya SHIF. Ni wito ambao umetolewa na naibu kamishna wa Marsabit ya kati David Saruni ambaye amezungumza na Shajara Ya Radio Jangwani. Kulingana na Saruni bima hii mpya ya afya itawawezesha wananchi wote kupata matibabu ya bure. Saruni amewataka[Read More…]

Read More

RAIA WAWILI WA ETHIOPIA NA MKENYA MOJA WAMESHTAKIWA KATIKA MAHAKAMA YA MARSABIT KWA KUMILIKI SILAHA HARAMU.

Na Caroline Waforo, Raia wawili wa Ethiopia na mkenya moja wameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa mashtaka kadhaa ikiwemo kumiliki silaha haramu. Washukiwa hao ambao wanajumuisha mkenya Roba Sora almaarufu Kolo, raia wa Ethiopia Rob Jarso almaarufu Salo pamoja na Galgallo Boro almaarufu Halkano walikamatwa tarehe 15 mwezi Oktoba mwaka[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter