WANABODABODA WAPENDEKEZA ZOEZI LA KUPIGA MSASA WOTE WANAOENDESHA BODABODA MJINI MARSABIT ILI KUNGOA WAHALIFU KATI YAO.
September 16, 2024
regional updates and news
By Waihenya Isaac, Kinara Wa ODM Raila Odinga Anaendeleza Kampeni Za Kupigia Debe Ripoti Ya Marekebisho Ya Katiba BBI Huku Kura Ya Maamuzi Ikitarajiwa Kufanyika Baadaye Mwaka Huu. Raila Anatarajiwa Kuandaa Mkutano Wa Hadhara Hii Leo Katika Eneo Githurai Kaunti Ya Nairobi,Kabla Ya Kufululiza Hadi Eneo La Mlima Kenya Ambapo[Read More…]
Gavana Wa Kaunti Ya Isiolo Mohamed Kuti. Picha; Hisani By Samuel Kosgei, Ni afueni kwa wakaazi wa kaunti ndogo ya Garbatulla baada ya serikali ya kaunti ya Isiolo kuzindua mashine aina tofauti ambazo zinalenga kuboresha huduma za matibabu katika eneo hilo na hata kwa watu wanoishi maeneo jirani. Akizindua mashine[Read More…]
Waziri Wa Fedha Ukur Yattani. Picha; Hisani. By Adano Sharawe, Waziri wa Fedha Ukur Yattani amewapa muda wa siku 3 Mbunge wa Saku Dido Ali Rasso na Mwakilishi wa Wanawake katika kaunti ya Isiolo Rehema Jaldesa, kumuomba msamaha kwa njia rasmi. Hatua hii inafuatia baada ya wawili hao kudai Yattani[Read More…]
By Adano Sharawe, Wasomi wa Jamii ya Borana kutoka Kaunti ya Marsabit na Isiolo wametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kuingilia kati na kumaliza hali ya utovu wa usalama katika eneo la Kaskazini ambao wanasema imechochewa na migogoro juu ya mipaka na rasilimali mbalimbali. Wakihutubia wanahabari jijini Nairobi, wasomi[Read More…]
By Waihenya Isaac, Rais Mteule Wa Marekeani Joe Biden Ameelekea Mjini Washington DC, Mji Mkuu Wa Marekani Ili Kuapishwa Baadae Hii Leo Kuwa Rais Wa 46 Wa Marekani. Katika Hotuba Yake Ya Mwisho Ya Kuaga Makao Yake Makuu Ya Delaware Biden Alitokwa Na Machozi Akieleza Namna Akavyofika Kule Washinghton Ili[Read More…]
By Samuel Kosgei, Mbunge Wa North Horr Chachu Ganya Amelaani Vikali Visa Vya Mauaji, Uvamizi Na Wizi Wa Mifugo Uliofanyika Wiki Jana Katika Eneo La Halakha Yahya Na Turbi Ambapo Watu Wawili Waliuawa Kwenye Matukio Tofauti Huku Mifugo Zaidi Ya 300 Wakiibiwa. Akizungumza Na Shajara Ya Jangwani, Ganya Ameonekana Kuunyosha[Read More…]
By Adano Sharawe, Kiongozi Wa Chama Cha ODM Raila Odinga Amesema Chama Chake Kitalinda Vilivyo BBI Na Handisheki. Akizungumza Alipoongoza Mkutano Wa Magavana Wa Chama Hicho Hii Leo, Odinga Amewataka Viongozi Hao Kuwa Katika Mstari Wa Mbele Kuilinda Vilivyo Ripoti Hiyo Kutoka Kwa Watu Anaosema Wanalenga Kuwapotosha Wakenya Kuihusu. Waziri[Read More…]
By Waihenya Isaac, Waziri Wa Usalama Wa Ndani Daktari Fred Matiangi Amekutana Na Baadhi Ya Viongozi Wa Kaskazini Mwa Nchini Ili Kutafuta Suluhu La Mizozo Ya Mara Kwa Mara Ambayo Imekuwa Ikishuhudiwa. Akizungumza Baada Ya Mkutano Huo Ambao Uliwaleta Pamoja Magavana Mohamed Kuti Wa Isiolo, Ali Bunow Korane Wa Garissa[Read More…]
By Mark Dida, Kamishina kaunti ya Marsabit Paul Rotich amesema kuwa oparesheni ya wezi wa mifugo walioibiwa ktk eneo la Halakhe Yahya eneobunge la Saku inaendelea kwa siku ya pili na inatazamiwa kuzaa matunda baada ya polisi kuwatia mbaroni watu watatu katika eneo hilo. Rotich aidha ameomba viongozi kutoka kaunti[Read More…]
Yoweri Museveni ametangazwa kuwa rais mteule Uganda baada ya kupata ushindi wa kura asilimia 58.64. Tume ya Uchaguzi Uganda (EC) imemtangaza Yoweri Kaguta Museveni kuwa mshindi wa uchaguzi mkuu uliofanyika Alhamisi tarehe 14 Januari 2021. Kwa mujibu wa EC Museveni amepata kura 5,851,037 sawa na asilimia 58.64 ya kura zote[Read More…]