Wanafunzi waliokamilisha elimu watakiwa kuwa na subira kuhusu kupokea vyeti vyao vya masomo.
March 25, 2025
Na JB Nateleng Waziri wa afya kaunti ya Marsabit Malicha Boru amesema kuwa visa vya ugonjwa wa figo vinazidi kuripotiwa katika kaunti ya Marsabit. Akizungumza kwenye hafla ya kusherehekea siku ya figo duniani iliyoadhimishwa katika hospitali ya rufaa ya Marsabit, waziri Malicha amesema kuwa visa vya ugonjwa wa figo vinazidi[Read More…]
Idara ya utabiri wa hali ya hewa kaunti ya Marsabit imesema kuwa msimu wa mvua za kawaida za mwezi tatu, nne na tano bado hazijaanza. Mkurugenzi wa idara hiyo Abdi Dokata ameambia shajara kuwa mvua zilizoshuhudiwa Marsabit na baadhi ya sehemu nchi maajuzi zilikuwa mvua za kupita tu bali msimu[Read More…]
Na Samuel Kosgei Sheria inayolenga kuhakikisha kuwa pesa za maendeleo ya jimbo la Marsabit haielekezwi kwingine iko tayari kutumika baada ya kuchapishwa kwenye gazeti rasmi la serikali. Hayo yamesemwa na MCA wa Laisamis Burcha ambaye alikuwa mwasisi wa sheria hiyo iliyoitwa Marsabit County Equitable Development Bill 2024. Burcha ameambia kituo hiki kuwa mswada huo sasa[Read More…]
Na Caroline Waforo Wanafunzi wa shule za upili na haswa walio katika shule za kutwa wameshauriwa kukoma kujihusisha na mapenzi. Wito huu umetolewa na mkurugenzi wa shirika la Wongan Women Initiative Teresalba Sintian ambaye amezungumza na shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu. Teresalba amewataka wanafunzi kujenga maisha yao[Read More…]
Na Caroline Waforo, Idara ya usalama kaunti ya Marsabit imelaumiwa kwa utepetevu katika kusuluhisha visa vya wizi wa bodaboda hapa mjini Marsabit. Idara hii sasa imetakiwa kuwajibika katika majukumu yake na hata kuhakikisha kuwa haki inapatikana kufuatia mauaji ya mhudumu moja wa bodaboda viungani mwa mji wa Marsabit. Wakizungumza wakati[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Madaktari wasio na mipaka (MSF) wamewasili katika eneo la Moite ili kufanya uchunguzi zaidi kuhusiana na ugonjwa wa Surua maarufu Measles ulioripotiwa kuzuka wiki jana katika eneo hilo. Kwa mujibu wa afisa wa afya katika kaunti ndogo ya Laisamis Yusuf Galmogle ni kuwa wataalam hao wa afya[Read More…]
NA SABALUA MOSES Na huku dunia ikienda kusherekea siku ya figo duniani hiyo kesho wakaazi katika kaunti ya marsabit wamehimizwa kutembelea hospitali ya rufaa ya marsabit ili kupimwa kama wana magonjwa ya figo Akizungumza na shajara ya radio jangwani Jilo Abdi Nassir ambaye ni daktari mkuu anayesimamamia matibabu ya figo[Read More…]
Na Henry Khoyan Machifu jimboni Marsabit wametoa wito kwa wazazi na walezi katika kaunti ya Marsabit, hususan wafugaji, kuhakikisha usalama wa watoto wao wakati huu wa mvua inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali jimboni. Wakiongozwa na Chifu wa eneo la Songa, Abdi Dera, machifu hao wamesisitiza kuwa jukumu la kuchunga mali[Read More…]
Na Carol Waforo Onyo kali limetolewa kwa yeyote aliye na nia ya kutekeleza mashumbulizi ya wizi wa mifugo kwa nia ya kulipiza kisasi baada ya washukiwa watatu wa wizi wa mifugo kuuawa na maafisa wa polisi hivi wiki moja iliyopita. Onyo hili limetolewa na kamishna wa kaunti ya Marsabit James[Read More…]
Na Samuel Kosgei MWAKILISHI wadi wa Sololo John Boru ameonesha wasiwasi wake kutokana na hali ya kiangazi kuwa mbaya katika wadi yake suala analosema linahatarisha maisha wakaazi kutokana na ukosefu wa chakula na maji. MCA Boru akizungumza na kituo hiki ofisini mwake amesema kuwa idadi kubwa ya watu hawana uwezo[Read More…]