Wanafunzi waliokamilisha elimu watakiwa kuwa na subira kuhusu kupokea vyeti vyao vya masomo.
March 25, 2025
Wizara zapata nyongeza ya shilingi bilioni 113 katika bajeti ya ziada. Rais William Ruto ametia saini Bajeti ya Ziada ya Pili ya mwaka wa fedha 2024/25 ambayo itatenga Ksh.113 bilioni zaidi kwa wizara mbalimbali. Kama inavyoonekana katika Mswada wa Ugawaji wa Fedha wa Ziada, ambao tayari umeidhinishwa na Bunge la[Read More…]
Mwanaume mmoja ameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kosa la kumnajisi mtoto mdogo wa umri wa miaka minane. Lmeseku Lealo mwenye umri wa makamo anadaiwa kumtendea unyama mtoto huyo mnamo tarehe 16 mwezi uliopita wa Februari katika lokesheni ya Songa, kaunti ndogo ya Marsabit ya kati, gatuzi la Marsabit. Kulingana[Read More…]
Wizara ya elimu katika kaunti ya Marsabit imewataka wazazi wa wanafunzi wanaofadhiliwa na serekali ya kaunti ya Marsabit kuwa na subira ili kuruhusu kesi iliyowasilishwa mahakamani kuhusiana na ufadhili huo kukamilika. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu waziri wa elimu katika kaunti ya Marsabit Ambaro Abdullahi[Read More…]
Na Muchai Joseph Wazazi karika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwachunga wanao wasije wakapata uzito wa kupindukia. Akiongea na kituo hiki naibu mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya SKM Ruth Lekesike amewataka wazazi kuhakikisha kuwa wanao wanapata muda wa kucheza na kufanya mazoezi ili kuwakinga na unene uliopindukia. Wakati uohuo[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Idara ya vijana na michezo katika kaunti ya Marsabit inaanda mafunzo ya siku mbili kwa vijana kuhusiana na jinsi ya kupata bima ili kutunza biashara zao, afya au hata bodaboda zao. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo ambayo yanafanywa na mamlaka ya udhibiti wa bima nchini[Read More…]
Na JB Nateleng, Wito umetolewa kwa wakazi wa Marsabit kuchukua tahadhari wanapotumia maji ya mvua ambayo yanapatikana kwenye silanga. Kwa mujibu wa waziri wa afya kaunti ya Marsabit, Malicha Boru ni kwamba maji ya silanga sio safi na iwapo hayatatibiwa ipasavyo basi uenda ikawadhuru wakazi kiafya. Malicha amesema kuwa ni[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Viongozi wa chama cha ODM katika kaunti ya Marsabit wametetea hatua ya kinara wa chama hicho Raila Odinga kufanya kazi na Rais Wiliam Ruto wakiitaja hatua hiyo kama ya kizalendo na wala sio Handsheki. Wakizungumza wakati wa zoezi la kuwasajili wanachama wapya lililoandaliwa hapa mjini Marsabit, viongozi[Read More…]
Na Samuel Kosgei HUKU dunia ikiadhimisha siku ya kulala duniani, wito wa kupata usingizi wa kutosha umetolewa kwa wakaazi wa Marsabit ikitajwa kama njia moja ya kupunguza msongo wa mawazo. Mtaalamu wa afya ya akili katika hospitali kuu ya Marsabit Victor Karani ameambia shajara ya jangwani kuwa mtu mzima anafaa[Read More…]
NA CAROLINE WAFORO Takriban wavuvi 30 wamekamatwa kwa kuvua samaki kinyume cha sheria katika maeneo yanayolindwa katika ziwa Turkana upande wa kaunti hii ya Marsabit katika kipindi cha mwaka moja uliopita. Haya ni kulingana na Mkurugenzi mwandamizi wa shirika la Wanyamapori KWS tawi la kaskazini mashariki Gideon Kebati ambaye amezungumza na[Read More…]
Na JB Nateleng Wanaume ndio huadhirika Zaidi na ugonjwa wa figo kuliko wanawake katika jimbo la Marsabit. Haya yamebainika katika sherehe ya kuadhimisha siku ya figo duniani iliyoadhimishwa katika hospitali ya rufaa ya Marsabit. Kwa mujibu wa maafisa wa afya katika kaunti ya Marsabit ni kwamba Wanaume wanatabia ya kupuuzilia[Read More…]